mafuta malibate
Member
- Sep 6, 2017
- 38
- 9
Kodi tu hapa
Tamaa ya viongoz(Bashite) kumiliki vilivyo juu ya uwezo,vinaliaibisha TAIFAbashitee bwana kwani siku zote alikuwa halipi kodi mbona ulimtaja kuwa anavuta madawa ya kulvya na hamjawahi kumshitaki kama halipi kodi mbona unabadilisha mada baada yakuwakaza ukutani mzee sema tu poo Manji na umrudishie lile range rover lake umedhulumu unaweka plate yako mzee kabla halijakulipukia ukabaki majivu mzee
Ha ha ha....watu wengi humu JF wanasema masikini wanachukia matajiri inaonesha humu matajiri wengi sana.Hawa washamba ambao wametoka kwenye familia za kimaskini ni shida tu! Yaani wana mawazo ya kimaskini kuliko. Nimetoka kwenye familia ya kimaskini, lakini sina aisee mawazo ya kimaskini kama washamba wanaoongoza nchi.
Kwa kukosa corroborating evidence kutosha kumconvict mtuhumiwa.Acha kudnganya hapa.Na anaiondoa katika condition zipi?Au akilala na kuamka tu kisa kafurahishwa na mke wake anaondoa kesi?
Aende wapi wakati wana Yanga tunamhitajiManji angeachana na Biashara zake hapa nchini asonge mbele
Nimekupa kifungu kasome kama huna sema nikutumie CPA,Na anaiondoa katika condition zipi?Au akilala na kuamka tu kisa kafurahishwa na mke wake anaondoa kesi?
Mtazifunga wewe na nani?.Sio kufungiwa office alipe billion 20 za kodi huyo MKWEPA KODI, kama halipi hata hizo Nakumatt tutazifunga
Ile ni biashara na biashara ni matangazo hapo tayari ameshaanza kupata wateja.Wala hahitaji press conference, unless ndio masharti ya kununua Nakumatt...angejiendea zake kisailensa tu kwani ukimya ni jibu pia....
Tunajua wewe umezoea kununua kwa mangi muuza Nakumat na wewe wapi na wapi.sidhani kama nahitajika kujua Hilo. Hilo ni jambo lako binafsi wewe Manji na familia yako.
Washaitwa true friends na ndugu..... bado unamayegemeo ya kupata chochote kutoka kwenye hizo Trillion 495!!? Rafiki wa kweli na ndugu hawadaiwagwi!!Hivi zile trillion 400 za kodi za accasia vipi naona mkuu anagonga glass na wakwepa kodi
Rais msamehe kodi lakini mama ntilie kule wanalipishwaWashaitwa true friends na ndugu..... bado unamayegemeo ya kupata chochote kutoka kwenye hizo Trillion 495!!? Rafiki wa kweli na ndugu hawadaiwagwi!!
Akiwa ana ha.r.a uje pia kutupa taarifa kwa niaba yake.Tunajua wewe umezoea kununua kwa mangi muuza Nakumat na wewe wapi na wapi.
Huwezi kutajirika kwa kumchukia tajiri, wewe utabaki kuona picha za noti kwenye sanduku tu.Zaidi ya MKWEPA KODI vile vile ni FisadiKuu na mtoa rushwa alifikiri Magufuli ananunulikaView attachment 616113
Chadema jumba la mafisadi lazima apate wa kutetea
Mwambieni bosi wenu roho mbaya haisaidii.Akiwa ana ha.r.a uje pia kutupa taarifa kwa niaba yake.
Nasikia huwa akiona wanaume wamekomaa wapo in action huwa kota (soma kinyumenyume) huwa zina mchezaBashite anakasirika sana kusikia hivyo