Tabu sana bwana Faridi. Kuna vitu vinatia hasira nchi hii. Sasa kitu kama hichi ndio wanataka wafanye headlines tena. Wafanye kazi yao in a professional way. That's all.Sasa inaonekana professionalism hamna tena sasa mbona hilo kosa la kawaida hata nchi za kiarabu, uingreza na umarekani yanatokewa muajiri anapigwa faini na wafanyayakazi wanarudishwa kwao, sasa lugha kama hizo za vitisho ya nini kama mtu kaua, kuongea kuwa hatutojali pesa zake, yote ya nini, kwanini asizungumze kistaarabu pindi atapotoka hospital tutampeleka mahakamani, na kuiacha ifanye kazi yake.
Ule mshtuko wa moyo ulisababishwa na mengi.Kamanda anasema walikuwa wanajiandaa kwenda kumkamata, kabla hawajaenda wakasikia yuko Hospitali kalazwa. Swali; Uhamiaji walikuwa wanajiandaa kwenye kumkamatia wapi ilhali alikuwa Polisi?
UHAMIAJI WAKAMATA PASSPORT 126 QUALITY GROUP.
Nina maana kuwa wahusika wanaweza kuombewa kibali au wakarudishwa makwao!Tanamuhitaji kwa lipi labda kwa mfano.Funga bakuli lako your talking non sense suala la uhamiaji linazungumzika ???
Kule kwa mkemiea Gwajima anasema mkojo wake ulikutwa safi.Mbona Gwajima kaachiwa? Hiyo sio sababu,sababu hasa soon itawekwa hadharani.
Toa upuuzi wako hapa wewe.Manji kawekeza nini Tanzania.yes yeye na mke wake wamelisha watu wengi arv feki
huu uraia wa 2 2 ni wa malkia mkuu eti na mimi ninasikia.Tatizo Diwani wetu inasemekana pia ana uraia mwingine wa Marekani, yaani sijui atakimbilia wapi maana kule kuna Trump ataki utani uku kuna Magufuri nae vile vile hataki utani kabisa
Kuna mambo haya hitaji kukomoana, ni swala la kuelimishana na maisha yaendelee. serikali inapata kodi kutoka Quality group, kuna watu wameajiriwa kupitia Quality group....Kinachonisikitisha ni hawa watu kuingiza siasa na ushabiki kwenye mambo ya msingi; inaonekana sasa kuweka watu ndani ndo sera ya serikali, anayekosea asipowekwa ndani ni kama vile wataonekana hawajafanya kazi sawasawa
Halafu halafu hakuna sababu ya kutumia lugha isiyo na staha! pinga hoja/mawazo/mtazamo kwa hoja/mawazo/mtazamo mbadala! Kama hujaelewa uliza!Tanamuhitaji kwa lipi labda kwa mfano.Funga bakuli lako your talking non sense suala la uhamiaji linazungumzika ???
sasa suala la wewe kupost kama yeye ni shareholder linahusiana vipi na hapa kwahiyo mimi nikae naperuzi contents unazopost wewe? stupid defense.Jifunze kujibu katika context!
Post yangu kabla ya hii nilliandika Manji kwa sasa ni shareholder, kwa hiyo hawezi kuhusishwa kwenye makosa ya kiutawala kupitia shares zake. Lakini kama hao watu walipewa vibali yeye akiwa kwenye utawala wa kampuni ana la kujibu.
Hapo juu nimejibu mtu anataka Manji asichukuliwe sheria kwa sababu ameajiri watu 5000. Halafu makosa yenyewe ni ya kuajiri wageni bila vibali! Crackpot reasoning!
Kabla hujaanza kuuliza hayo masuala jiulize Kwanza unaemuuliza ni nani immigration na wewe ni nani immigrationKuna Big Question Mark Kwenye Hii Saga.
Kwanza Passport Si Tanzania Iweje Immigration Officer Wa Tanzania Azisemee Passport Za Nchi Zingine Kuwa Ni Fake????
Pili Kwanini Amtaje Yusuf Manji Moja Kwa Moja Wakati Manji Ni advisor Tu Wa Quality Group Wakati Ameshajiuzuru Kuanzia Mwezi Wa 4 Mawaka Jana?
Tatu Kama Watumishi Hawana Vibali Basi Ni Kosa La Kiutawala Si La Mtu Binafsi
Nne Quality Group Ni Limited Company Iweje Umtaje Shareholder Mmoja Kuwa Ndiyo Muhusika Mkuu?
Ukifanya Kazi Kwa Hisia Au Kushurutishwa Kuna wakati Unajisahau Na Kupitiliza Mipaka
Nchi Hii Inapoelekea Ni Pabaya, Na Niaanza Kukumbuka Historia Ya Robin Hood Alongside His Band Of Merry Men.
Alipataje huo Uraia pacha pasipo kushughulikiwa na hao uhamiaji kuhusika kwa njia moja au nyingine. Wasikomee QG tu waende kampuni zote nyingi tu. Kweli ukifuatwa na mbwa koko hakuachii kila unakokwenda anawewe.huu uraia wa 2 2 ni wa malkia mkuu eti na mimi ninasikia.
Nikweli mkuu inaonekana Manji alizani hili game jepesi, hapo kila file litaguswa inabidi atafute njia mbadala ya kujikwamua.Gwajima kutoka smart ktk mikono ya hawa bwana nampa big up sana..issue ya kupekuliwa sio ya mchezo mchezo maana autokosekana ata chupa ya chai utaambiwa utoe risti yake...Muhind yupo ktk hali mbaya sana alijua mazoezi kumbe mechi sehem alizopita shortcut zote zitafumuliwa sasa usiombe ukutane na bwana Pepsi
Jamaa anaongea wazi akionyesha kuwa katumwa ....eti tulikuwa tumkamate jana as if hawajui alipo.....nawaambiaa akichomoa la madawa ya kulevya haya mengine mmechemsha...muache kumtumia 'mamsaidizi wa dereva wa daladala'kuwaumiza watu tumieni weredi wenu.Huyo maskini bado ni kijana mdogo after ten (10) years mzee ukishaondoka huyo kijana ataishi maisha ya akina Basil mramba wanayoishi sasa...bora wao walishajizeekea wala hawajutii kauli zao za kale