Mkuu, nimeona hiyo.Well,
Barua haiko signed basi ni CHAKA... Umeangalia tarehe za registration ya Kagoda na ukaangalia makubaliano ya mkopo toka Kagoda kwenda Quality Finance? Do you see my concern? Wala mi sina shida na yeye kupinga, ana haki na si vema kuchafuliwa kama anajua yeye ni msafi. Tatizo langu ni ninapoangalia hizi TAREHE mkuu wangu
Anahisi anajibizana na Mengi! Hana adabu nini?hawa wahindi zamani walijifanya wajuvi sana sasa mambo yao yanazidi kuwekwa hadharani ona anavyojibu utadhani mtoto wa darasa la pili barua nzima imejaa maneno ya hasira utafikiri anamjibu mpenzi wake.
To be honest ya manji na kagoda naona ni old news kwangu.
Mpya ni hili la Manji kuwaweka madiwani wake na meya wake jijini Dar na yanayojiri now....
Halafu si Manji ndie mmilikiwa wa SasaTel?
Kodi wanazolipa SasaTel zikoje? Kodi za Quality Group?
tukiendelea kujadili wizi wa 2005 wakati kuna wizi mwingine unaendelea ni busara kweli?
Si juzi jiji wamempa ufukwe wote wa Oysterbay?
Manji anajua Kiswahili?
Kitu ambacho mleta habari kashindwa kukielewa ni kuwa kuna grace period ya lini uli lodge kampunimiwe incorporated na lini imekuwa incorporated. Licha ya hayo kuna intention, ambayo inaweza kuambatana na MoU kabla ya kampuni kuanzishwa. Na hapo hizo tarehe na kampuni vimekuwa leaked ili ukivipeleka mahakamani (mwanasheria mbumbu kama anaetajwa) vikugeukie.
Kwa ufupi, kampuni inaweza kuwepo hata kama haijawa incorporated.
Tena sana..
Tatizo si taarifa feki bali ni nani anazitoa na wapi, itikadi yake ni ipi, je amelenga nini na kumsaidia nani.
Kwani Manji yupo humu?
Yusuf Manji, jamaa katajirika kwa mipesa yetu wenyewe, nashangaa wanaomsifia eti anatumia walizoacha babu zake.
Mzee Mahboob kafia Marekani, nasikia alikimbia moto hapa, si ajabu hata mwane naye akaanza.
To be honest ya manji na kagoda naona ni old news kwangu.
Mpya ni hili la Manji kuwaweka madiwani wake na meya wake jijini Dar na yanayojiri now....
Halafu si Manji ndie mmilikiwa wa SasaTel?
Kodi wanazolipa SasaTel zikoje? Kodi za Quality Group?
tukiendelea kujadili wizi wa 2005 wakati kuna wizi mwingine unaendelea ni busara kweli?
Si juzi jiji wamempa ufukwe wote wa Oysterbay?
mkuu
actually nilichotaka tutumie nguvu pia kujadili wizi wake unaondelea now
sisemi tusijadili kabisa ya kagoda..
yuko behind karibu kila kitu cha dili za halmashauri ya jiji
why?kwa sababu kawachagua yeye hao madiwani na meya wao...
umenipata?
Msisahau kuwa kwenye ukweli uongo hujitenga!huo ni msemo wenye umri kuliko yeyote kati yetu hapa, YOU WILL ALL SEE THIS TO BE TRUEUkisoma katikati ya mistari utagundua kwamba ni walewale waliomtuma Msemakweli kuleta humu upuuzi wake na ni hao hao wamejifanya Manji.
Naanza hivi: Hiyo press release ni ya kihuni, ni upuuzi na nahisi imeandikwa bar yaani na mlevi. Kwanza sio official kwa maana ya unsigned, sio headed na imefanya personality attack badala ya kujibu hoja zao za kipuuzi.
Pili hivi huyu Manji, kama na yeye kakubaliana na 'press release' yake, anatufanya mafalz sie? Hata kama brela walimcheleweshea registration japo alikuwa tayari on business sasa ni kwa nini hasemi hayo? Lakini pia kwa nini yeye na serikali wasiungane kuwashitaki Kagoda?
Na nani hasa alikuwa Kagoda ambaye serikali ilimtuhumu kuiba pesa na kumkopesha manji moja kwa moja? Na kwa nini yeye manji alikuwa mdhamini wa wezi kule bank, na mwisho hizo debits huko bank mbona zilikuwa nyingi bila sababu maalum? Wezi watupu?
Najua Nape rafiki yangu anahangaika na haya, baba nikwambie tu ushashindwa hata kabla hujaanza, nawasilisha.
inategemea hawako smart kwenye nini. Mbona hela wamekula?