Manispaa ipi ya Dar imeendelea zaidi?

hapa hakuna cha kubishana , Kibiashara ni Ilala ila Kinonond inaongoza kila kilichobakia kasoro uhalifu ambayo ni temeke then Ilala
 
hapa hakuna cha kubishana , Kibiashara ni Ilala ila Kinonond inaongoza kila kilichobakia kasoro uhalifu ambayo ni temeke then Ilala
Kama uongeavyo, kuna mwanajf aliandika hivi hivi huko mwanzo kwamba Ilala kwa biashara iko vizuri, ila kimipango miji, maendeleo ya makazi nk Kinondoni inaongoza.
 
Usifananishe kinondoni na vitu vya hovyo.Hapo toa wote.MPAMBANO UWE KIINONDONI NA ILALA.
 
Tukiondoa biasness, Ilala iko juu ya Kinondoni, then Kinondoni inafuatia. Kwa upande wa makazi ya kuishi Kinondoni inaizid kidogo Ilala ingawa siyo sana. Ilala ndiyo yenye CBD kubwa kuliko yoyote kwa Tanzania.( Kariakoo, Upanga, Kusutu, Posta) na ndiyo mji mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam. Ikichangamana na Temeke, Ilala ina Bandari, Airport, Muhimbili na Ikulu. Kwa upande wa Revenue collection( TRA Domestic Collection) Ilala imezipita Manispaa zote, majiji yote kwa ukusanyaji wa mapato kwa Tanzania nzima. Kinondoni inashika nafasi ya pili kwa kila kitu ukiondoa maeneo ya makazi tu na mambo ya starehe. CBD ya Kinondoni ni eneo dogo la Makumbusho na maeneo yanayochipukia pale Mlimani City.

Hivyo kwa kubalance mizania kwa kuangalia angle zote, Ilala inaipiku Kinondoni, nita rank kama ifuatavyo:
1. Ilala
2. Kinondoni
3. Kigamboni
4. Ubungo
5. Temeke
Na kwa majiji ni kama ifuatavyo:-
1. Dar es Salaam
2. Ilala( ukiacha ijitegemee Ilala bado iko juu)
3. Mwanza
4. Kinondoni( ukiacha ijitegemee, Kinondoni iko juu kuliko Arusha na Dodoma)
5. Arusha
6. Dodoma
7. Mbeya
8. Tanga
Kumekua na Debate ya rank kati ya Arusha na Dodoma, kimsingi hazipishani sana. Lakini based on CBD, Arusha bado iko juu kuliko Dodoma. Na kwa mtazamo wangu rank za majiji yanayotambuliwa kiserikali ukiondoa mpangilio wa hapo juu ni kama ifuatavyo:-
1. Dar es Salaam
2. Mwanza
3. Arusha(4)
4. Dodoma(3)
5. Mbeya
6.Tanga

Lakini miji ifuatayo inaweza kupewa hadhi:
Morogoro, Kahama na Moshi.
 
Tukiondoa biasness, Ilala iko juu ya Kinondoni, then Kinondoni inafuatia. Kwa upande wa makazi ya kuishi Kinondoni inaizid kidogo Ilala ingawa siyo sana. Ilala ndiyo yenye CBD kubwa kuliko yoyote kwa Tanzania.( Kariakoo, Upanga, Kusutu, Posta) na ndiyo mji mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam. Ikichangamana na Temeke, Ilala ina Bandari, Airport, Muhimbili na Ikulu. Kwa upande wa Revenue collection( TRA Domestic Collection) Ilala imezipita Manispaa zote, majiji yote kwa ukusanyaji wa mapato kwa Tanzania nzima. Kinondoni inashika nafasi ya pili kwa kila kitu ukiondoa maeneo ya makazi tu na mambo ya starehe. CBD ya Kinondoni ni eneo dogo la Makumbusho na maeneo yanayochipukia pale Mlimani City.

Hivyo kwa kubalance mizania kwa kuangalia angle zote, Ilala inaipiku Kinondoni, nita rank kama ifuatavyo:
1. Ilala
2. Kinondoni
3. Kigamboni
4. Ubungo
5. Temeke
Na kwa majiji ni kama ifuatavyo:-
1. Dar es Salaam
2. Ilala( ukiacha ijitegemee Ilala bado iko juu)
3. Mwanza
4. Kinondoni( ukiacha ijitegemee, Kinondoni iko juu kuliko Arusha na Dodoma)
5. Arusha
6. Dodoma
7. Mbeya
8. Tanga
Kumekua na Debate ya rank kati ya Arusha na Dodoma, kimsingi hazipishani sana. Lakini based on CBD, Arusha bado iko juu kuliko Dodoma. Na kwa mtazamo wangu rank za majiji yanayotambuliwa kiserikali ukiondoa mpangilio wa hapo juu ni kama ifuatavyo:-
1. Dar es Salaam
2. Mwanza
3. Arusha(4)
4. Dodoma(3)
5. Mbeya
6.Tanga

Lakini miji ifuatayo inaweza kupewa hadhi:
Morogoro, Kahama na Moshi.
Umechambua vizuri kinamna fulani mkuu. Ni kweli Ilala inaishinda Kinondoni kibiashara, majengo makubwa ya biashara, bank, majengo ya serikali, shule.

Ila kwa upande wa maendeleo ya kimakazi, starehe, utulivu na ubora wa maisha watu wa Kinondoni wanaishi vizuri ukilinganisha na maeneo mengine.
 
Uwezekano wa Kinondoni kuibuka kidedea katika mchabango huu ni mkubwa, ikifuatiwa kwa mbali kidogo na Ilala. Temeke huenda ikawa nyuma hata ya Kigamboni 😂😂😂.
Mimi M'kinondoni sema temeke ni manispaa ya kinyonge sana, hakuna hata kata moja ya uzunguni kama manispaa zingine 🤣🤣🤣
 
ilala city Council

ina bandari
Ina Mwendokasi
Ina Manispaa ndani ya Jiji la ilala

Ukifuatilia sifa jiji utagundua ilala imemaliza kazi

Saaa basi
Mapato ni makubwa kutokana na population.

Ni katika majiji yanayojitegemea na huko mbeleni watawajibikq kuimarisha huduma waendane na wakati
 
Back
Top Bottom