Mangula: Lowassa bora uondoke kuliko kuivuruga CCM

Mangula: Lowassa bora uondoke kuliko kuivuruga CCM

mh lowassa nenda mahakamani udai'uhuru wako' umeporwa na nape na mangula hii sio haki kabsa rais anaweza kutoka popote kaskazini .kusini au mashariki
 
Lowasa ni fisad mkubwa No 1, tanzania hakuna asiyemjua lowasa, kwan ni mnafiki anaingia makanisan eti na misikitini kumwaga misaada wakat jimbo lake maji shida tu!! Wamasai wanaenda kutafuta maji na punda zao

una ushahidi?? Weka hapa
 
Siku zote walikuwa wapi mpaka ministerial reshuffle inanukia ndio wanaanza kelele
 
bora LOWASA na ufisadi uliongozwa na bosi kuliko Zito na hujuma anazowafanyia mabosi wake
 
husimchonganishe mzee mangula na lowassa... Ccm hakuna mwenye uwezo wa kumfukuza lowassa... Sana sana anayejaribu kutunusha tumisuli ni @nape tu.

alijaribu hata kutaka kumvua gamba lakini wapi! Kama alivyosema chenge, likaishia kiunoni.
 
Huyu mzee nadhani anazeeka vibaya!! Hivi anajua hata maana ya neno, "kubainika"?!
 
HUYO NI Mangula wa nyumbani KWAKO,NA SII mzee Philip Mangula tunayemjua SISI,MWINGI wa HEKIMA,anavyo VIKAO VYA kuongelea,Hana SABABU ya kuyaongea hayo uliyomlisha,shame on you mleta MADA

Wewe ni mjinga sana!
 
Mangula makamu mwenyekti wa CCM Taifa amepigilia msumari mkali kwenye ndoto ya Edward Lowassa kwa kumwambia bora aondoke kwani hata simamishwa na CCM kama mgombea wake wa Urais kwani matendo anayofanya yanampoyezea sifa ya kuwa mgombea wa CCM labda chama kingine!

Kayasema hayo leo mchana Lumumba CCM Sub HQs!

Duh! Magumu haya! Mimi nakumbuka wakati wa CCM kuanza ushindani wa vyama vingi Lowassa alikurupuka kwenda kuchukua fomu za kugombe URais. Nyerere alimfukuza na kusema hakutaka amwone tena kujaribu uongo wa namna hiyo. Lowassa hajawahi kusema kwa nini alikatazwa. Alipobahatika kupata uWaziri Mkuu na kukutana na tatizo la TANESCO Lowassa alikwenda Korea na kuwaahidi waTz kuwa alikuwa akienda kuleta mvua ya kutungua kwa risasi. Kungekuwa na mvua kama hiyo nina hakika Saudia wangekuwa wanatungua kila siku kwa sababu jangwa ni kero.

Alipokuta mvua ya Korea haiji kujaza Bwawa la Mtera ndipo Lowassa akanunua umeme wa Richmond. Na si Richmond tu ambayo ndiyo ilisababisha ajiuzulu kwa sababu kuna kakampuni kengine kadogo ka-Agreko ni ka Lowassa.

Richmodn ilisababisha ajiuzulu, lakini Agreko bado ipo ina mitambo Ubungo na inazalisha umeme baada ya kurudishwa kinyemela.

Halafu Lowassa ndiyo anakwenda anamwaga mahela huko na huko kwa sababu tu amemiliki biashara za kuuza ng'ombe wa umasaini na kusupply butcher za Dar.

Haya, kwa sababu uRais ni huria Lowassa wetu huyo hapo, MPENI KURA ZA NDIYO.
 
bavicha wenye busara na akili kidogo sijui wako na Zitto? Maana hawa waliobaki utawaonea hata huruma. wewe waandikie tu mkubwa fulani katika chama kiubwa-CCM kasema hivi hivi kwenye radio au hata tv potelea mbali, basi vibavicha vitakurupuka huko na kuanza kushangilia kama mazuzu. Hivi wewe nani kakwambia kuwa Makamu M/kiti wa chama dume anakwenda ch 10 kuongea kuhusu mambo ya chama na mwanachama. Ujuha bwana, halafu aliyepost hii thread ni CCM nyie mnakurupuka, ------- kasome kwanza ndio mje kusema, la sivyo mtakuwa vichwa vya panzi kila leo
 
Acha kudanganya umma mangula, wanafahamika sana wanaotoa rushwa unataka wap? ww mwenyewe kinala wa rushwa
 
bavicha wenye busara na akili kidogo sijui wako na Zitto? Maana hawa waliobaki utawaonea hata huruma. wewe waandikie tu mkubwa fulani katika chama kiubwa-CCM kasema hivi hivi kwenye radio au hata tv potelea mbali, basi vibavicha vitakurupuka huko na kuanza kushangilia kama mazuzu. Hivi wewe nani kakwambia kuwa Makamu M/kiti wa chama dume anakwenda ch 10 kuongea kuhusu mambo ya chama na mwanachama. Ujuha bwana, halafu aliyepost hii thread ni CCM nyie mnakurupuka, ------- kasome kwanza ndio mje kusema, la sivyo mtakuwa vichwa vya panzi kila leo

Nenda mwanakwenda akipata Lowassa si utafaidi? Nchi imenyongwa hii!
 
Mangula makamu mwenyekti wa CCM Taifa amepigilia msumari mkali kwenye ndoto ya Edward Lowassa kwa kumwambia bora aondoke kwani hata simamishwa na CCM kama mgombea wake wa Urais kwani matendo anayofanya yanampoyezea sifa ya kuwa mgombea wa CCM labda chama kingine!

Kayasema hayo leo mchana Lumumba CCM Sub HQs!

Tuweke utani na masihara pembeni...Mangula hana ubavu wa kuyasema haya kwa Lowassa! Hakuna kiongozi wa CCM anaweza kuyyasema haya dhidi ya Lowassa, wanaweza kuzungumza indirectly huko kwenye vijiwe vyao lakini hakuna mwenye ubavu wa kum-face Lowassa na kumwambia hayo...aliweza JK Nyerere and maybe angeweza Mkapa....Maagula? Mtu alishapotea, na akawa mloko kabisa leo anaanza muchezea moto? Atarudi alikotokea...tumsahau tena
Tunasubiri
 
Mwa namke mjinga huibomoa nyumba take mwenyewe Lin mangu
 
Mangula Hoyeeee. Leo ametangaza rasmi kuwa EL na Jan Makamba hao wana ruksa ya kuchangisha Hongo na Rushwa hadharani. Chama kikongwe kimewaruhusu.
Tunampenda sana Makamu M/kiti wetu. Akisema hutenda. Bado anawavutia pumzi walioingia HK kwa hongo. Amewapa ruhusa wajisalimishe wenyewe na fomu zao kabla ya uchaguzi mwingine. Ndiyo maana kimyaa. Miezi sita ikipita tutaona.
Mh. Mangula, rudi kajilimie nyanya zako kuleee Ir. Darisalama ina wenyewe.
Hutathubutu kumgusa hata yule aliyeipeleka hiyo hongo. Umeingia nyumba NYITU. Waliomo wote ni ukoo wa panya. Tangu Babu hadi mjukuu. Hawahitaji waalimu wa kuwafundisha kukoboa mahindi wapate kile kiini. Tunakuambia; ' GUSA UNASE' Ni kaushauri tu
 
Back
Top Bottom