Siasa za nchi yetu kama mambo ya mnara wa babel,kama vipi wanasiasa wote watoke wakatafute kazi nyingine za kufanya,halafu na sie tuingie tufanye kazi ya siasa,Hivi yale maoni ya kutaka kila mkoa uwe na wabunge 2 tu na kusiwe na majimbo ya uchaguzi na vile viti maalum kwa ajili ya kuwaliwaza waheshimiwa wakuu vifutwe umefikia wapi?
Nashangaa sana,kila siku lowassa,zitto,mbowe,slaa,ccm,cdm hivi hakuna mambo ya msingi ya kujadili?Hapa umeme ukinunua wa buku 10 unapata units 8 lakini cha ajabu kimya tu,