Nampa Mangula buku saba yangu ya leo!!Mangula makamu mwenyekti wa CCM Taifa amepigilia msumari mkali kwenye ndoto ya Edward Lowassa kwa kumwambia bora aondoke kwani hata simamishwa na CCM kama mgombea wake wa Urais kwani matendo anayofanya yanampoyezea sifa ya kuwa mgombea wa CCM labda chama kingine!
Kayasema hayo leo mchana Lumumba CCM Sub HQs!
anajaribu kuiwasha nyota yakeHuyu mzee nadhani anazeeka vibaya!! Hivi anajua hata maana ya neno, "kubainika"?!
Kwani Mangula ni nani CCM?? Si huyo huyo alimkataa Kikwete 2005 na Kikwete leo ni rais... Tusiwe wasaulifu na malimbukeni, CCM hawana choice El anataka urais na hakuna wakumzuia ccm!!! unless muendelee kujifuraisha mitandaoni..
Mangula hata akiondoka ccm kwa sasa hana impact even the president himself but not Lowassa hasa kutokana na asili ya wanachama wa ccm na wale wanaomsapoti EL.. Penda usipende mgombea wa ccm 2015 ni lowassa, ukiona vipi hama chama,
Mangula tunasubiri waliotoa rushwa kwenye uchaguzi wa CCM kufukuzwa. Mbona hilo umeliacha unahangaika na Lowasa? Ulikua mkweli zama za mkapa siyo sasa, tulia tu hayo huyawezi tena