Mangula: Lowassa bora uondoke kuliko kuivuruga CCM

Mangula: Lowassa bora uondoke kuliko kuivuruga CCM

Mangula naye bwana, ubunge tu alikosa sasa haya ya urais anayajua kweli??? atuachie babamkwe wetu, tuje tufanye tuliyomfanyia mkwila kule Arumeru
 
Mangula makamu mwenyekti wa CCM Taifa amepigilia msumari mkali kwenye ndoto ya Edward Lowassa kwa kumwambia bora aondoke kwani hata simamishwa na CCM kama mgombea wake wa Urais kwani matendo anayofanya yanampoyezea sifa ya kuwa mgombea wa CCM labda chama kingine!

Kayasema hayo leo mchana Lumumba CCM Sub HQs!

CCM haifanyi kazi JF kama Chadomo
 
Leo makamu m/kiti CCM ndg Mangula leo alisikika katika vyombo vya habari kuna watu wanaleta uasi ndani ya CCM. Akawafananisha na waasi wa Somalia. Waasi hao ni wale wanaohangaika na urais. Lowassa ni miongoni mwa wana CCm wasiojificha kutafuta nafasi hiyo.

Ndani ya CDM kuna Zitto aliyeanzisha uasi kwa kusaliti harakati ya chama. Jambo la kumshukuru Mungu ni KK kumshughulikia ZZK mpaka kakimbilia mahakamani lakini haisaidia. Tunamshughulikia vilivyo. Magamba wamejitahidi sana kumtetea ZZK lakini naona wamezidiwa na makamanda.

Kwa kuwa CCM nayo ina muasi wake, nawashauri CCM members onesheni uimara wa chama kumshughulikia muasi Lowassa ( Machar) Mkifanya hivyo tutawaamini na ninyi mpo.

hakuna muasi CCM hayo yote ni upotoshaji na wala CCM huwezi kuilinganisha na hiyo SACCOS ya kasikazini. Rais mwenyewe aliwahi kusema kwamba sasa kupitapita kunaruhusiwa. Acha kulinganisha mlima na punje ya mchanga. na hata huyo Zitto mnamtia fitina na mwisho mnabaki kuaibika.
 
Chadema ndo kiboko yake nakumbuka Arumeru kilichotokea hatasahau kamwee
Mangula naye bwana, ubunge tu alikosa sasa haya ya urais anayajua kweli??? atuachie babamkwe wetu, tuje tufanye tuliyomfanyia mkwila kule Arumeru
 
hakuna muasi CCM hayo yote ni upotoshaji na wala CCM huwezi kuilinganisha na hiyo SACCOS ya kasikazini. Rais mwenyewe aliwahi kusema kwamba sasa kupitapita kunaruhusiwa. Acha kulinganisha mlima na punje ya mchanga. na hata huyo Zitto mnamtia fitina na mwisho mnabaki kuaibika.

Saccoss inawahangaisha magamba.
 
aha aha aha !
hivi mkuki kwa nguruwe kwa binadamu ni chungu,

CCM mnafadhili uasi ndani ya CDM, kupitia kwa zitto,

hilo hamulioni ni dhambi mbaya, sasa inawarudia mnalia,

kwannza mangula awakemee wanachama wake wanaochochea uasi kwa vyama vingine, na ushahidi upo kama anataka tutampa

alafu ndo amkemee lowasa vinginevyo hatumwelewi
 
Mangula hajajifunza kwa Nape ?

Nape alibweka sana kuusu Lowassa lakini leo hii kimya.
 
Huyo ni Mangula. Kikwete anamwabudu sana Lowassa

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Ndani ya ccm hakuna anayemweza Lowasa si mangula aliyepewa mke kama zawadi au Nape mropokaji au mzee wa Tembo kinana na bosi wake mzee wa fastjet. Lowasa hakamatiki wala hashikiki ndani ya ccm.
 
Nchi ina vilaza hii... Nani kakwambia watz tunataka harambee hapa? Tunataka maendeleo co hizo hela za msimu,, kwanza hizo hela anazotoa ndio maumivu yetu akianzaa kuzirudisha na kumbuka hamna cha bure duniani hapa.
 
HUYO NI Mangula wa nyumbani KWAKO,NA SII mzee Philip Mangula tunayemjua SISI,MWINGI wa HEKIMA,anavyo VIKAO VYA kuongelea,Hana SABABU ya kuyaongea hayo uliyomlisha,shame on you mleta MADA

Povu la nini?
 
hakuna muasi CCM hayo yote ni upotoshaji na wala CCM huwezi kuilinganisha na hiyo SACCOS ya kasikazini. Rais mwenyewe aliwahi kusema kwamba sasa kupitapita kunaruhusiwa. Acha kulinganisha mlima na punje ya mchanga. na hata huyo Zitto mnamtia fitina na mwisho mnabaki kuaibika.

Mangula na raisi wako vyama tofauti?
 
Pasco wa Jf Sema neno kuhusu mkwara mbuzi huu dhidi ya jemadali wetu El....
 
Last edited by a moderator:
Alichozungumza mzee Mangula ni sahihi mbona hata katibu mwenezi wa ccm alisema wote wanaojitangaza kuwa ni wagombea hawana sifa!!!!??????
 
Back
Top Bottom