Mangula: Lowassa bora uondoke kuliko kuivuruga CCM

Mangula: Lowassa bora uondoke kuliko kuivuruga CCM

HUYO NI Mangula wa nyumbani KWAKO,NA SII mzee Philip Mangula tunayemjua SISI,MWINGI wa HEKIMA,anavyo VIKAO VYA kuongelea,Hana SABABU ya kuyaongea hayo uliyomlisha,shame on you mleta MADA
 
Haaaa Hata siamini kama Mangula anaweza ongea hivi Teh! Teh! tehe.hehee
 
LoL!!! Kama hili ni kweli basi Ngoma inogile.

CC: Kambi ya fisadi Lowassa
 
mwendo mdundo
Go on Lowassa ,mangula ameshazeeka tumsamehe
vita yenu itakibomoa chama,itakuwa kete nzuri kwa wapinzani
Utabiri wa Wassira utawaangukia CCM
 
Lowassa ameendelea kulimwa na viongozi wa juu wa CCM kuwa anavunja kanuni kwa kutangaza ni yake ya kutaka urais kupitia chama hicho cha CCM.
 
Mangula hawezi kusema mambo labda kama amesahau alivyosota kijijini baada ya kutelekezwa
 
Mangula makamu mwenyekti wa CCM Taifa amepigilia msumari mkali kwenye ndoto ya Edward Lowassa kwa kumwambia bora aondoke kwani hata simamishwa na CCM kama mgombea wake wa Urais kwani matendo anayofanya yanampoyezea sifa ya kuwa mgombea wa CCM labda chama kingine!

Kayasema hayo leo mchana Lumumba CCM Sub HQs!
huo ni mziki mkubwa
 
Ccm ikimtimua lowassa nitaiunga mkono popote! Ingawa hawana ubavu wa kumwondoa lowassa!
 
Kumbe binadamu tu wepesi wa kusahau, huyu mzee amesahau msoto aliokula kijijini? Shauri yake acha aendelee kubwabwaja km kina nape.
 
Wanasiasa,wanasiasa wanasiasa wana-make headlines,si mangula,si lowassa,walopigia kelel kupanda kwa bei ya umeme,wala si Nape,,,
so sad,wachumia tumbo

Hili ndio tatizo kubwa la watanzania. Kukaa kama maboga na kutegemea wanasiasa watawafanyia kila kitu. Wao wana hasara gani hata bei ya umeme ikipanda wakati wanaokota fedha za bure kila siku mpaka nyingine hazina kazi? Jamani hata kujitetea tunashindwa mpaka tungojee wanasiasa?
 
Wanasiasa,wanasiasa wanasiasa wana-make headlines,si mangula,si lowassa,walopigia kelel kupanda kwa bei ya umeme,wala si Nape,,,
so sad,wachumia tumbo

Lakini kwanini nyinyi wanaCDM mnafurahia sana migogoro ndani ya chama chetu tawala? Hamjui CCM si CDM? Na CCM ikiyumba na nchi lazima itayumba! Mkionaga simba wanararuana kaeni mbali kama hamtafuti kuchafuka damu!
 
Kwani Mangula ni nani CCM?? Si huyo huyo alimkataa Kikwete 2005 na Kikwete leo ni rais... Tusiwe wasaulifu na malimbukeni, CCM hawana choice El anataka urais na hakuna wakumzuia ccm!!! unless muendelee kujifuraisha mitandaoni..

Mangula hata akiondoka ccm kwa sasa hana impact even the president himself but not Lowassa hasa kutokana na asili ya wanachama wa ccm na wale wanaomsapoti EL.. Penda usipende mgombea wa ccm 2015 ni lowassa, ukiona vipi hama chama,
 
Mwaka huu na mwakani, vyama vitakumbwa na migogoro ya kugombania uongozi, tatizo la ccm hawana uwezo wa kumtimua lowassa hata kidogo!
 
HUYO NI Mangula wa nyumbani KWAKO,NA SII mzee Philip Mangula tunayemjua SISI,MWINGI wa HEKIMA,anavyo VIKAO VYA kuongelea,Hana SABABU ya kuyaongea hayo uliyomlisha,shame on you mleta MADA


Naona ndugu yetu Mangula anachesea moto ulao! Hajua Lowasa si mtu bali ni taasisi nzito ndani ya taasisi! Yetu macho!
 
Back
Top Bottom