Ngambo Ngali
JF-Expert Member
- Apr 17, 2009
- 3,517
- 1,366
Things fall apart
Bye bye CCM
Bye bye CCM
Kwahiyo chama kinaweza kutoa 'idhini' ya kutoa rushwa?Waungwana, kupitia taarifa ya habari ya channel ten makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi(ccm) ametoa tamko kali kwa kusema chama hakitasita kumchukulia kiongozi yeyote hatua kama atagundulika anatoa rushwa ,anatoa michango mbalimbali kama harambe kweny maeneo mbalimbali bila idhini ya chama watachukuliwa hatua na pia ameonya makundi yote yanayokigawa chama waataitwa na kuhojiwa. Swali je hawa watoa michango hawajulikani mpaka wafanye uchunguzi, haya makundi hawayajui. Tujadili
Nilijua tu kuwa papara za Lowasa zinazotokana na uchu wa madaraka uliopitiliza zitamponza.
Lowasa ni lini, wapi na tangu amejiuzuru u PM amepnekana ktk takrima,harambee ama hadhara kwa niaba ya CCM †Serikali. Mara zote anazoonekana ktk jamii ni yeye kama Lowasa tena hata CCM colours hazionekagi....iweje tuhusishe karipio la Makamu na Lowasa. Je wengine wenye team na wale wanaotembezwa na GS wetu nao wakitangaza nia later watasalimika na karipio hilo? Kwanini tunuona Edward tu?
Lowasa ni lini, wapi na tangu amejiuzuru u PM amepnekana ktk takrima,harambee ama hadhara kwa niaba ya CCM Serikali. Mara zote anazoonekana ktk jamii ni yeye kama Lowasa tena hata CCM colours hazionekagi....iweje tuhusishe karipio la Makamu na Lowasa. Je wengine wenye team na wale wanaotembezwa na GS wetu nao wakitangaza nia later watasalimika na karipio hilo? Kwanini tunuona Edward tu?
Nadhani huu ni wakati wa CHADEMA nao kumtumia Lowassa ili kuisambaratisha CCM!!!