Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 59,205
- 69,744
Hizi ni sarakasi za Ccm lakini wenye Akilini
tunajua vizuri.
Aliposema Serikali yoootee nimeiweka mfuko
wenye akili tukajua tu anatoa rushwa,nikamtia
ndani.
By JK Nyerere(Pumzika)
Hapo ukiangalia utaona wazi Mwl hakuhitaji
mpaka mashahidi ni jambo la haraka sana.
tunajua vizuri.
Aliposema Serikali yoootee nimeiweka mfuko
wenye akili tukajua tu anatoa rushwa,nikamtia
ndani.
By JK Nyerere(Pumzika)
Hapo ukiangalia utaona wazi Mwl hakuhitaji
mpaka mashahidi ni jambo la haraka sana.