Tangawizi
JF-Expert Member
- Jun 25, 2009
- 7,855
- 8,498
π π π π π π π π π πASANTE KWA KUITANGAZA TANZANIA KWA MABAYA LAKINI ELEWA DUNIA ITATUPOKEA KWA MEMA!.....YALIYOPO TANZANIA!..
π π π π π π π π π πASANTE KWA KUITANGAZA TANZANIA KWA MABAYA LAKINI ELEWA DUNIA ITATUPOKEA KWA MEMA!.....YALIYOPO TANZANIA!..
Mwanamke anayeishi LA hawezi kuwa Hana akili za kutoshaMdada anajiamini sanaaaa....
Ana akili mingi hyo uje na hoja nzito kupinga hilo
Ana exposure ya hali ya juu...
Ana misimamo
Yuko tofauti kabisa na yule mgonjwa wa akili maria sarungi na yule mkurupukaji hilda newtonnadhani ni mmoja wa wanaharakati anayejua nini chakufanya muda gani na wapi gani na kwa watu gani, hakurupuki kabisa
Sijawahi kumuelewa huyo chizi, sielewi anapataje wafuasi.
Hongereni sana kwa kila jitihada mnazozifanya dhidi ya wauaji mashetani, zinazolenga kutetea haki za binadamu wenzenu.Acha kufanya assumptions.
Hujui kazi ambazo baadhi yetu tunazifanya huku nyuma ya pazia kuhakikisha Samia na wauaji wenzake wanawajibika.
Sina haja ya kuja hapa na kutangaza kila kitu.
Kwenye maelezo hajasema anataka kulipwa/damages, yeye anataka nafasi(space) aweze kuitumia haki ya free speech kwa ukamilifu.Njia za MUNGU hszichunguziki maana yeye pekee ndiiye anajua safari ya maisha yetu hapa duniani....mange anaenda kulipwa pesa nyingi Sana baada ya kushinda kesi
Vipi akishindwa?Njia za MUNGU hszichunguziki maana yeye pekee ndiiye anajua safari ya maisha yetu hapa duniani....mange anaenda kulipwa pesa nyingi Sana baada ya kushinda kesi
Dogo unaonekana kituko humu, ushauri wa kiume kabisa : USIWE UNAPARAMIA I'DS ZA WATU KINDEZI. Nina experience na hili jambo miaka 13 iliyopita. FULL STOPWewe unahisi join date ndo kigezo?
Au unongea kujifurahisha?
ππππDogo unaonekana kituko humu, ushauri wa kiume kabisa : USIWE UNAPARAMIA I'DS ZA WATU KINDEZI. Nina experience na hili jambo miaka 13 iliyopita. FULL STOP
Kwamba ulitekwa? πDogo unaonekana kituko humu, ushauri wa kiume kabisa : USIWE UNAPARAMIA I'DS ZA WATU KINDEZI. Nina experience na hili jambo miaka 13 iliyopita. FULL STOP
Usimpe kichwa huyoπ€£ππππ
Wana akili ambazo sio za Kukesha bar kama weweIla wahuni wa NY mnatamba sana π π kwamba mnaweza pata pesa zaidi?π€£
π€£π€£π€£Kwamba ulitekwa? π
Umejuaje bwashee?Wana akili ambazo sio za Kukesha bar kama wewe
Kumbe ninachokonoa watu wazito na wanaitika basi ni nyota kubwa sana mmπ€£π€£π€£
Kuna I'd nilikuwa naiparamia kama unavyoparamia ids za watu humu, basi kuna siku akaandika mawasiliano yako na akasema ni Mkurugenzi wa fedha na utawala Gulf Oils UAE nikajua masihara siku anatua TZ akani PM nikampigia, akasema nitakuwa Serena Hotel jioni nipigie saa 12 jioni
Jioni nikampigia nikaenda mpaka Serena Hotel napiga simu inapokewa na msaidizi wake akaniambia Dr ana mazungumzo na Mheshimiwa Waziri, kuingia mpaka ndani aisee nilikuta kuna Ulinzi wa kutisha, mbona nilikula kona.
Kuna I'd nyingine nilikuwa na associate naye sana kwenye utani na kejeli akaniomba namba ya simu nashangaa inanipigia namba ya UK akaniambia December atanitafuta ni kweli nakumbuka ile 15 December 2012 akanipigia tukakutana JB Belmont pale NSSF HQ Posta kula sana monde kwenye age yangu ya 25's jamaa akaniambia ni Dr UK huko na anachukua PhD yupo humu humu.
Na mwingine naona huwa naona unamchokonoa sana lakini ni tofauti na vile unavyomchukulia ni mtu mwenye roho nzuri na heshima na tunashirikiana na baadhi ya wadau ndani na nje ya huu mtandao.
Slow Down Kijana πππ
They're living their dreams and you're living alcoholUmejuaje bwashee?
Kaka naomba connection basi mtu mzitoπ€£π€£π€£
Kuna I'd nilikuwa naiparamia kama unavyoparamia ids za watu humu, basi kuna siku akaandika mawasiliano yako na akasema ni Mkurugenzi wa fedha na utawala Gulf Oils UAE nikajua masihara siku anatua TZ akani PM nikampigia, akasema nitakuwa Serena Hotel jioni nipigie saa 12 jioni
Jioni nikampigia nikaenda mpaka Serena Hotel napiga simu inapokewa na msaidizi wake akaniambia Dr ana mazungumzo na Mheshimiwa Waziri, kuingia mpaka ndani aisee nilikuta kuna Ulinzi wa kutisha, mbona nilikula kona.
Kuna I'd nyingine nilikuwa na associate naye sana kwenye utani na kejeli akaniomba namba ya simu nashangaa inanipigia namba ya UK akaniambia December atanitafuta ni kweli nakumbuka ile 15 December 2012 akanipigia tukakutana JB Belmont pale NSSF HQ Posta kula sana monde kwenye age yangu ya 25's jamaa akaniambia ni Dr UK huko na anachukua PhD yupo humu humu.
Na mwingine naona huwa naona unamchokonoa sana lakini ni tofauti na vile unavyomchukulia ni mtu mwenye roho nzuri na heshima na tunashirikiana na baadhi ya wadau ndani na nje ya huu mtandao.
Slow Down Kijana πππ