Mange ndani ya NY Post!

Mange ndani ya NY Post!

Ndio alimtoa Faraja Nyalandu, Nancy Sumari na Wema Sepetu..

Ameitawala internet toka enzi za blog hadi social media. Na kila anachokifanya kinakuwa successful

Hata developers wa Tanzania walishangaa alivyopiga pesa ndefu kwenye app. Kitu ambacho wao pamoja na grants ndefu hawajawahi fanya

She is smart, strategic, exceptionally consistent na ana strong intuition. Ukiambiwa ni mtoto wa ex-officer wa usalama wa taifa hukatai. She is GIFTED 📍
That lady hata humu alikuwepo ilikuwa Moto wa kuotea mbali Nyuzi zake Views 2M per day🤣🤣
 
wasi wasi wangu ni kwamba hata kama akaunti yake ikifunguliwa tena leo sidhani kama itakuwa moto kama ilivyokuwa mwanzoni na sababu kubwa ni jinsi nature ya binadamu ilivyo, hiyo gap ya kuwa offline ni kubwa kuja kuirudisha wengi walisha move on.

atakuwa na kazi ya ziada kurudisha old glory days, it will never be the same again kwa maoni yangu ...
Aliacha umbeya, akaipiga siasa ila alivyorudi kwenye umbeya kwa kutumia app. Bado akawa vizuri

Alipoteza account ina watu 7 million.. Akaanza siasa tena kwa account nyinginr ya watu m1,
katikati ya miezi miwili mitatu akafikisha followers zaidi ya 2.5 nadhani. Yani ongezeko lake la followers (1.5) kuna wasanii hawana hiyo number kwa career ya miaka mingi

Unachosema kinaweza kutokea ila Mange ana influence sana na anachokifanya. Ni wachache wanaweza kukifanya ndio maana presence yake mtandaoni inaogopeka
 
Aliacha umbeya, akaipiga siasa ila alivyorudi kwenye umbeya kwa kutumia app. Bado akawa vizuri

Alipoteza account ina watu 7 million.. Akaanza siasa tena kwa account nyinginr ya watu m1,
katikati ya miezi miwili mitatu akafikisha followers zaidi ya 2.5 nadhani. Yani ongezeko lake la followers (1.5) kuna wasanii hawana hiyo number kwa career ya miaka mingi

Unachosema kinaweza kutokea ila Mange ana influence sana na anachokifanya. Ni wachache wanaweza kukifanya ndio maana presence yake mtandaoni inaogopeka

duh, si mchezo ...
 
Back
Top Bottom