Mange ndani ya NY Post!

Mange ndani ya NY Post!

Safi sana Mange!

You are a rider for real. You are also very necessary especially in these times.

And I think she has a real good shot at winning this lawsuit against Meta.

Hii publicity si ndogo.

Kumbe Anaishi Los Angeles?
 
Mie nimemfahamu muda ,alikuaga na hy project ya walimbwende,Yuko very smart na mikakati anaijua,Kipi kianze,Kipi kisubiri muda gani na kiweje
Ndio alimtoa Faraja Nyalandu, Nancy Sumari na Wema Sepetu..

Ameitawala internet toka enzi za blog hadi social media. Na kila anachokifanya kinakuwa successful

Hata developers wa Tanzania walishangaa alivyopiga pesa ndefu kwenye app. Kitu ambacho wao pamoja na grants ndefu hawajawahi fanya

She is smart, strategic, exceptionally consistent na ana strong intuition. Ukiambiwa ni mtoto wa ex-officer wa usalama wa taifa hukatai. She is GIFTED 📍
 
Ndio alimtoa Faraja Nyalandu, Nancy Sumari na Wema Sepetu..

Ameitawala internet toka enzi za blog hadi social media. Na kila anachokifanya kinakuwa successful

Hata developers wa Tanzania walishangaa alivyopiga pesa ndefu kwenye app. Kitu ambacho wao pamoja na grants ndefu hawajawahi fanya

She is smart, strategic, exceptionally consistent na ana strong intuition. Ukiambiwa ni mtoto wa ex-officer wa usalama wa taifa hukatai. She is GIFTED 📍
Nikikumbuka uturn enzi hizo hatari.
 
wasi wasi wangu ni kwamba hata kama akaunti yake ikifunguliwa tena leo sidhani kama itakuwa moto kama ilivyokuwa mwanzoni na sababu kubwa ni jinsi nature ya binadamu ilivyo, hiyo gap ya kuwa offline ni kubwa kuja kuirudisha wengi walisha move on.

atakuwa na kazi ya ziada kurudisha old glory days, it will never be the same again kwa maoni yangu ...
 
Back
Top Bottom