Common Folk
JF-Expert Member
- Nov 8, 2023
- 878
- 3,920
Mange ameeleza tukio zima la mfanyabiashara kutekwa, ambapo analeza tukio hilo lilifanyika karibu na ofisi za mkuu wa wilaya
Ulikuwa hujui kwamba TANPOL kuna Mahita mwana?Omary Mahita tena?!!!
Ukoo wa Nyoka huo, huyo ni mtoto wakeOmary Mahita tena?!!!
Ndiyo maana tunasema bila kuwaonyesha kuwa ''hatutaki mchezo'' basi wataendelea kutuua. Tungekuwa tumemalizana na baba yake, mtoto angethubutu kufanya hivi?Ukoo wa Nyoka huo, huyo ni mtoto wake
Kuna kazi inabidi ifanyike kumalizana na majoka hayaNdiyo maana tunasema bila kuwaonyesha kuwa ''hatutaki mchezo'' basi wataendelea kutuua. Tungekuwa tumemalizana na baba yake, mtoto angethubutu kufanya hivi?
ChieftainOmary Mahita tena?!!!
Ina maana Jenerali Nkunda alikuwa anatupanga au?.
Hata mie nashangaaAnaitwa Abdul Omary MahitaUlikuwa hujui kwamba TANPOL kuna Mahita mwana?
Mange ameeleza tukio zima la mfanyabiashara kutekwa, ambapo analeza tukio hilo lilifanyika karibu na ofisi za mkuu wa wilaya
View attachment 3546309

wewe fisi umalizane na nani, ndio nyinyi usiku mnatumia kidumu unaogopa kwenda choo cha njeNdiyo maana tunasema bila kuwaonyesha kuwa ''hatutaki mchezo'' basi wataendelea kutuua. Tungekuwa tumemalizana na baba yake, mtoto angethubutu kufanya hivi?
Tatizo lilipo wanamalizana pia na raia wema. Mdude hakua jambazi, soka hakua jambazi ali kibao hakua jambazi, Ben saanane hakua jambaziJamaa ni jambazi aliyeshindikana ndo mana wakaaamua wammalize
Mnameza Sana taarifa fake. Hakuna sehemu mkunda alisema hayoIna maana Jenerali Nkunda alikuwa anatupanga au?.
Tukio hili limemshushia heshima Nkunda na kuishushia heshima zaidi JW. Maana wanatoa kauli halafu utekaji unaendelea kama kawa!
Naskia ni wa hovyosana huyo dogo mahita jr