babake nasreen
JF-Expert Member
- Oct 30, 2014
- 703
- 492
Kisa tuu chama kile kile ndo unamchukia mange?Samahani kukukwaza, natumaini wewe ni mwanamme uliokamili na unajitambua. Inakuwaje inafuatilia masuala ya changudoa asiye na faida na taifa na asiyejitambua? Mwanamme mwenzangu, uko sawa lakini? Jichunge usije ombwa kushikishwa ukuta, ohooooo, usiseme sijakuonya.
Amin nakwambia watz wamepata mtu atakayewapazia sauti matatzo yao, ambapo mengine ni yakiinterejensia hauwezi yatoa ukiwa unatumia mtandao wa wazi hapa nchini, maana unaweza ishia ununio, ila mange ndio speaker maana bwana yule na wenzie huko hawana ubavu nako, kama hutaki jiue.