Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

Samahani naingilia mazungumzo yenu kuuliza si ujinga. Hivi ile operation UKUTA iliyoitishwa na Chadema lengo lake lilikuwa kuwashikisha wanachadema kwenye ukuta kama ulivyoelezea?


Ile ilikuwa ni kuwashikisha watu UKUTA kwa nguvu. Yaani ilikuwa hivi, wanakuuliza wewe ni chama gani, ukisema kingine zaidi ya CHADEMA unaonywa na kupewa mda wa kujiunga na CHADEMA, ukikataa ndipo unashikishwa ukuta. Vipi, ulikuwa hujawahi kuulizwa huko mitaani?
 
Kipo kingi hakika. Mtu makini hawezi mfuatilia wala kumchukulia Mange seriously
Kwa hiyo followers 1.1m unawaona ni mbulula ila wee ndio mjuaji?.
Wakati hata serikali inakesha kwenye mtandao wake kujibu mapigo yake na hata kuzuia malipo toka kwa mashabiki wake.
 
Kwa hiyo followers 1.1m unawaona ni mbulula ila wee ndio mjuaji?.
Wakati hata serikali inakesha kwenye mtandao wake kujibu mapigo yake na hata kuzuia malipo toka kwa mashabiki wake.
Mwanaume acha kujihusisha na Mange na udaku, hizo ni dalili za ubwabwa. Sijali ana followers wangapi wanaume wote wanaojihusisha nae wanaudada ndani yao
 
Mm mwenzenu huyo Mange alishaniblock mara 4 na mafekero yangu ya instagram. Mambo huwa anajiandikia mwenyewe whatsap then anasahau anapost hivyo hivyo ikiwa green ukimwambia anafuta faster then anakupa block
 
Followers wake wengi ni vilaza msijipe matumaini eti wapo 1.1m sasa mtu eti anamtumia Dada mange huku Arusha exams za mock form hazijasahihishwa kweli jamani??Mange huwa hapewi information yoyote anachokifanya anasoma magazet yote then anacreate caption zake hapo baadhi ya mabogus wanamuona wa maana kutokana na uzembe wa watanzania wengi hatupendi kitu kusoma. Mange anafaa kuchamba watu tu siyo SIASA
 
Mm mwenzenu huyo Mange alishaniblock mara 4 na mafekero yangu ya instagram. Mambo huwa anajiandikia mwenyewe whatsap then anasahau anapost hivyo hivyo ikiwa green ukimwambia anafuta faster then anakupa block
hata mimi aliniblock kwa sababu hiyo hiyo
 
Hahahaha!!! Hongera mkuu ukiona kakublock means uko much better than her
 
Janaume nzima unaenda kumlipa mange buku nzima akupe umbeyaa
 
Back
Top Bottom