Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

halafu wabongo mlivo MAJUHA mnajifanya hamumjui mnajifanya mnampotezea huku, lkn Instagram mna mfuata(following) sasa ya nn achezi ubambaz
Namjua ila simfuatilii na wewe kama mwanaume nakusihi achana na kina Mange. Hebu toa mfano mmoja tu wa story yake yenye mashiko, hivi Ndo huyu alisema Kinana katoka CCM?
 
This is... News Alert: According to mleta thread....
 
Nimeingia kwenye page yake nimekuta amewwka tangazo la Apps yake nikaenda Playstore nikakuta hiyo Apps ipo nimejisajili ila sasa inakubidi uwe na dollar moja kwa kuweza kupata subscription kwa mwezi nikaishia hapo labda hiyo ya tigo na mpesa ndo atatupata watanzania waliowengi ila kutumia visa au madtercard tunaogopa kukombwa vipesa vyetu!
Pia nimshauri picha aliyoiweka ike ya pink aibadilishe
Nanimeona pia mangekimambi daily ile amesema siyakwake.
Nimtakie kila la heri.


Samahani kukukwaza, natumaini wewe ni mwanamme uliokamili na unajitambua. Inakuwaje inafuatilia masuala ya changudoa asiye na faida na taifa na asiyejitambua? Mwanamme mwenzangu, uko sawa lakini? Jichunge usije ombwa kushikishwa ukuta, ohooooo, usiseme sijakuonya.
 
Namjua ila simfuatilii na wewe kama mwanaume nakusihi achana na kina Mange. Hebu toa mfano mmoja tu wa story yake yenye mashiko, hivi Ndo huyu alisema Kinana katoka CCM?
Kamuulize Polepope Na kigwangala kutwa kujibu Hoja zake insta , Wewe hauna Nafasi kwa Mange maana hata Jf unatumia fake ID ... Kama kweli wewe ni zaidi ya Mange weka Picha yako halisi humu ndani ...
 
Tena wanaume kibao wanamfatilia kisirisiri hlf wanajishaua tu hapa. Hata kama hawampendi wanasoma habari zake
Mkuu watanzania wengi wanaongoza kwa unafiki, ndio maana ata viongozi wetu hawasemi ukweli nchi inapoenda, ila mimi nina uhakika wakiwa chumbani na wenza wao watakua wanaongea ukweli, wakitoka nje wanajidai everything is going OK
 
Mkuu watanzania wengi wanaongoza kwa unafiki, ndio maana ata viongozi wetu hawasemi ukweli nchi inapoenda, ila mimi nina uhakika wakiwa chumbani na wenza wao watakua wanaongea ukweli, wakitoka nje wanajidai everything is going OK
Huu ndio ukweli. Hakuna ambaye yupo mtandaoni asimfatilie mange. Uwe ccm, uwe mpinzani, uwe huna chama, uwe mpenda umbea, uwe una mpenda, uwe humpendi.
 
Ndo nakwambia sasa mwanaume acha kujihusisha na kina Mange unaonekana choko. Nipe mfano wa habari moja tu toka kwake yenye mashiko

Hapana unakosea kaka, kila mtu ana uhuru wa kuamua nini cha kufanya, we kwa uwelewa na ueledi wako unamuona Mange sio kitu lakini wenzio ndio source ya habari zao
Kama ni issue ya kuwa choko basi hata Polepole katibu mwenezi wa CCM na Hamisi Kigwangala Naibu Waziri wa Afya nao wanaingia kwenye hilo group ulilolitaja kwani na wao wanafatilia habari za Mange na huwa wanazijibu hoja zake nyingi tu, mara ya mwisho alionyesha mtoto anayeshindwa kupata matibabu kwa kukosa laki tano, kesho yake Naibu Waziri wa Afya akafatilia hiyo issue na kuwapunguzia gharama kwenda kwenye laki tatu

Mimi nakubakiana na wewe kwenye kitu kimoja, sio kila anachosema au kuandika Mange ni cha akweli, vingi ni vya uongo, lakini pia ukae ukijua taarifa anazoandika Mange sio yeye ndio anatunga bali analetewa na watu mbalimbali so kunaweza kuwa na za Uwongo nyingi tu
 
Back
Top Bottom