Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

Tena wanaume kibao wanamfatilia kisirisiri hlf wanajishaua tu hapa. Hata kama hawampendi wanasoma habari zake
Bashitee mwenyewe anaki fake id anakitumiaa kuchunguliaa kwa mange
 
Samahani kukukwaza, natumaini wewe ni mwanamme uliokamili na unajitambua. Inakuwaje inafuatilia masuala ya changudoa asiye na faida na taifa na asiyejitambua? Mwanamme mwenzangu, uko sawa lakini? Jichunge usije ombwa kushikishwa ukuta, ohooooo, usiseme sijakuonya.
Kumbe na wewe ulimfuatilia??? Sasa wapuuzi wanaonyana
 
Kuna system gani nimeipaka matope hapo? Hivi kumbe ' Mafia ' nao huwa ni System? Jitahidi upunguze kidogo ' upumbavu ' ulionao Kichwani na kwa taarifa yako tu huyu Dada sasa hatafutwi tu na hao unaowahisi Wewe sasa vita yake imeingizwa hadi kwa ' Drug Barons ' ambao wengi wao ndiyo huwa ' Mafia ' wakubwa na ndiyo hao Mimi nilikuwa nawalenga. Ninapokuwa humu JF huwa najua nafanya nini kwahiyo acha na ukome kabisa kunilisha maneno tafadhali. Nimemaliza!
Samahani kaka wa mitusi nilitereza.
 
Nimeingia kwenye page yake nimekuta ameweka tangazo la Apps yake nikaenda Playstore nikakuta hiyo Apps ipo nimejisajili ila sasa inakubidi uwe na dollar moja kwa kuweza kupata subscription kwa mwezi nikaishia hapo labda hiyo ya tigo na mpesa ndo atatupata watanzania walio wengi ila kutumia visa au mastercard tunaogopa kukombwa vipesa vyetu!

Pia nimshauri picha aliyoiweka ile ya pink aibadilishe
Na nimeona pia mangekimambi daily ile amesema siyakwake.

Nimtakie kila la heri.
Hao wajinga ndiyo wata-subscribe kwa dola 1. Kwa kitu gani kupata habari za umbea? Hata bure siwezi kudownload app ya kijinga kama hiyo.
 
Ameanza kutumia uzuzu wetu Na uchakubimbi uliochanganyika Na ushilawadu Kama fursa
 
Hichi kibibi gagula blog yake ilimshinda kisa ukata..naona amekuja na style mpya ya nitoke vipi!! wanaomchangia wana moyo kweli!!
 
He, anataka muwe mnalipia tena....'bunge live' imeshakuwa mzigo?
 
Kipo kingi hakika. Mtu makini hawezi mfuatilia wala kumchukulia Mange seriously
We mwenyewe unamfatilia umejuaje kama anayezungumziwa ni mange?unajifanya humfatilii wakati umekimbilia kuufungua uzi unaomhusu
 
ni rahisi sana kwa mavi kumpita kooni huyu maza kuliko kupata "michango" kutoka kwa mswahili.. mswahili sio mtu
 
Hichi kibibi gagula blog yake ilimshinda kisa ukata..naona amekuja na style mpya ya nitoke vipi!! wanaomchangia wana moyo kweli!!
Alikuwa na Tangazo la Voda, tatizo akawa anatoa mfululizo wa Matusi na Michambo wakaachana nae kumsponsor na kiblog chake kikafa
 
Back
Top Bottom