Tee Bag
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 7,220
- 5,626
Wewe ulijuaje kama Mange ni mnyetishaji wa habari kama humfatiliiHadi humu mpo ambao chanzo chenu cha habari mange? Kweli watanzania wengi viazi
Wewe ulijuaje kama Mange ni mnyetishaji wa habari kama humfatiliiHadi humu mpo ambao chanzo chenu cha habari mange? Kweli watanzania wengi viazi
For 5 hours wameipakua watu maelfu ameonyesha hiyo traffic kwenye video, so hilo dua lako la kuku limemkosa mwewe.Hapo kwenye pesa hapati followers watanzania wanavyopenda dezo acha tu
Wewe unamfatilia Mange acha kujishaua, umejuaje kwamba hapost vitu vya msingi kama humfatilii??Kama zipi hizo sijawahi sikia chochote cha msingi kapatia zaidi ya udaku na umbea na mijitu mijinga inaamini. Mwanaume Lazima uwe chakula kumuelewa huyo demu
Hata nilichoandika hujaelewa kweli wafuasi Wa mange janga LA taifa.Wewe ulijuaje kama Mange ni mnyetishaji wa habari kama humfatilii
Mbona hasira? Kusoma ni hobby..sio mbaya kusoma na kuchukua tahadhari.Kama zipi hizo sijawahi sikia chochote cha msingi kapatia zaidi ya udaku na umbea na mijitu mijinga inaamini. Mwanaume Lazima uwe chakula kumuelewa huyo demu
Mimi sio chakula lakini ninamuelewa sana huyu dada.. labda kwa sababu mimi sio ccm..Kama zipi hizo sijawahi sikia chochote cha msingi kapatia zaidi ya udaku na umbea na mijitu mijinga inaamini. Mwanaume Lazima uwe chakula kumuelewa huyo demu
Nimetumia credit card mwaka wa kumi huu sijawaji kukombwa kitu, nimetumia visa card yangu mpaka ATM za USA
Sasa sijui utawaitaje na wale vijana ambao mpaka leo hawana uhakika wa future zao lakini bado wanashabikia ccm?!..Hadi humu mpo ambao chanzo chenu cha habari mange? Kweli watanzania wengi viazi
Usikute Baba yako pia ni follower wa MangeMwanaume kumfuatilia Mange ni dalili ya uchakula.
Nae choko kama anamfuatilia Mange kama wanaume wote wanaomfatiliaUsikute Baba yako pia ni follower wa Mange
Sijakataa... Nakushangaa wewe dume suruali a.k.a Kaoge unatokwa povu asubuhi yote hii...Usikute Baba yako pia ni follower wa Mange
Mange ndio kipenzi changu na familia yangu katika kuhabarika kila sikuMwanaume kumfuatilia Mange ni dalili ya uchakula.
Samahani naingilia mazungumzo yenu kuuliza si ujinga. Hivi ile operation UKUTA iliyoitishwa na Chadema lengo lake lilikuwa kuwashikisha wanachadema kwenye ukuta kama ulivyoelezea?Mwanamme mwenzangu, uko sawa lakini? Jichunge usije ombwa kushikishwa ukuta, ohooooo, usiseme sijakuonya.
Wewe hutaki kupata hasara siyo?..tumuungishe dada yetu bhana..Mtakao jiunga mtupestie huku ili iwe exclusive.
Acha uboya ulimfaham vp kama hukumfwata wewe kama unaona story zake hazina mashiko piga kimya.Namjua ila simfuatilii na wewe kama mwanaume nakusihi achana na kina Mange. Hebu toa mfano mmoja tu wa story yake yenye mashiko, hivi Ndo huyu alisema Kinana katoka CCM?
ata mwanamume kuto. ipenda nchi yako ni dalili ya kupakuriwaMwanaume kumfuatilia Mange ni dalili ya uchakula.