Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

Hapo kwenye pesa hapati followers watanzania wanavyopenda dezo acha tu
Including u,kwani wewe unalipia hapa?
Wanaopenda dezo ni wale watumia rambirambi kwa chakula chao cha mil 4
 
Hata hanipati huko, atafute tu kazi, kulipia kwa card yangu ya bank, never. Huu ndo mwanzo wa Mange kumaliza value.
 
Dada wa kipare anakimbiza balaa..Ana wazo zuri mwacheni apige hela!!
 
Achana na hawa waswahili wambea hawana kazi.kazi yao uzushi na kuidharau nchi yao ili hali maisha yao wanategemea nchi hii

NI KWELI KABISA MKUU,MM NAWAONA WATU WA AJABU SANA.
 
Ndo nakwambia sasa mwanaume acha kujihusisha na kina Mange unaonekana choko. Nipe mfano wa habari moja tu toka kwake yenye mashiko

Naomba kuungana na @KakaKiiza kuwa choko kwa kumfuatilia Mange. Tuache ubinafsi na tuwe wakweli, Mange ana mapungufu yake but binafsi nimeyajua mengi kupitia yeye. Ni mpiganaji mzuri. Atakumbukwa tu, kama si wewe na awaye yoyote.
 
Nimeingia kwenye page yake nimekuta amewwka tangazo la Apps yake nikaenda Playstore nikakuta hiyo Apps ipo nimejisajili ila sasa inakubidi uwe na dollar moja kwa kuweza kupata subscription kwa mwezi nikaishia hapo labda hiyo ya tigo na mpesa ndo atatupata watanzania waliowengi ila kutumia visa au madtercard tunaogopa kukombwa vipesa vyetu!
Pia nimshauri picha aliyoiweka ike ya pink aibadilishe
Nanimeona pia mangekimambi daily ile amesema siyakwake.
Nimtakie kila la heri.

Binafsi napenda sana kusoma habari zote,nyepesinyepesi na hard news pia,Lakini nilichokiona kwa dada yetu Mange pale mara nyingi habari anazotuwekea huwa si mpya..anakuwa either amescreenshort au kutoa kwenye page za Jamii forums,swahili times(IG,twiter,fb)na vyanzo vingine vinavyofanania kitu ambacho kinafanya kupoteza ladha kwa sisi tunaofuatilia habari mpya kwa sababu tunakuwa tumekwisha zisoma Jamii forums au kwny page zingine...so point hapo ni huwa anategemea sana vyanzo kama JF...anakuwa amechelewa na kufanya marudio.Kwa mantiki hii sasa atapoteza wasomaji wengi sana kwa sababu kuna vyanzo strong sana kama JF.Mimi binafsi ni heri wazo la kuchangia lingewekwa JF na si Mange.Hiyo option ya kuwa na app na kulipia kwa mwezi itamcost..
 
Kwa nini TRA wamebadiri mfumo wa kuangalia usajiri as chombo cha moto baada ya mange kutumia kuonesha watu wanavyotumia vibaya madaraka. Pia ule mfumo ulikua unasaidia kuahakiki umiliki wa chombo cha moto haswa kwenye kuuziana maana kuna watu wanaishi mbali na wilaya hivyo wanaweza uziana kwa kadi feki
 
Back
Top Bottom