Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

Mange Kimambi afungua Apps ķatika playstore Android!!

Nae choko kama anamfuatilia Mange kama wanaume wote wanaomfatilia
Kwa hiyo unasemaje kuhusu Naibu waziri wa afya mpaka wakawa wajibishana kwa hoja hadi kigwangala akamuelewa na kumuhaidi atachukua hatu...hivi wewe siyo shoga kweli maana unavieliment vya ushoga kuwa na chuki na wanawake wenziyo!pasipo kuwa na sababu hebu sababu zakumchukia mange kuliko wenye vyeti fake na wanakuongoza punda wewe.
 
Nimeingia kwenye page yake nimekuta amewwka tangazo la Apps yake nikaenda Playstore nikakuta hiyo Apps ipo nimejisajili ila sasa inakubidi uwe na dollar moja kwa kuweza kupata subscription kwa mwezi nikaishia hapo labda hiyo ya tigo na mpesa ndo atatupata watanzania waliowengi ila kutumia visa au madtercard tunaogopa kukombwa vipesa vyetu!
Pia nimshauri picha aliyoiweka ike ya pink aibadilishe
Nanimeona pia mangekimambi daily ile amesema siyakwake.
Nimtakie kila la heri.

Naona ' njaa ' sasa imeanza kumtafuna huko aliko Los Angels nchini Marekani. Na ni kupitia hizi hizi ' njaa ' zake ndipo atakapowarahishia Kazi ' wanaomsaka ' na yawezekana Yeye anaweza kudhani labda sijui Mume wake kaamua kumpokonya Watoto wake ila kumbe nyuma ya pazia tayari ' Mafia ' wameshafanya yao ni suala la muda tu wanaweza kufanya yao. Dunia ya leo siyo ya ' Kujiamini ' na ' Kuamini ' Watu hivyo na uzuri au ubaya ni kwamba karibia 99% ya wanaofanikisha Wewe kupatwa na ' matatizo / majanga ' ni hao hao Marafiki zako / Watu wako wa karibu unaowaamini.
 
halafu wabongo mlivo MAJUHA mnajifanya hamumjui mnajifanya mnampotezea huku, lkn Instagram mna mfuata(following) sasa ya nn achezi ubambaz
Hapo ndipo utakapoelewa kuwa kinyesi hakina miiba lakini ukikikanyaga unachechemea.
 
Sio Apps baali App yaani amefungua app apps inatumika zikiwa mbili au zaidi ila kama ni moja ni app.
 
Samahani kukukwaza, natumaini wewe ni mwanamme uliokamili na unajitambua. Inakuwaje inafuatilia masuala ya changudoa asiye na faida na taifa na asiyejitambua? Mwanamme mwenzangu, uko sawa lakini? Jichunge usije ombwa kushikishwa ukuta, ohooooo, usiseme sijakuonya.
Kwa maelezo yako wanawake wakoje vile.
 
Hadi humu mpo ambao chanzo chenu cha habari mange? Kweli watanzania wengi viazi

Kwani vyanzo vya habari ni wanyama au binadamu kama huyo Mange? Kama humuamini kwa sababu zako ni wewe lakini wanaofahamu potentiality yake kwenye uwazi wanathamini mchango wake. Na ni kipi alichosema kikawa uongo?
 
Mkuu watanzania wengi wanaongoza kwa unafiki, ndio maana ata viongozi wetu hawasemi ukweli nchi inapoenda, ila mimi nina uhakika wakiwa chumbani na wenza wao watakua wanaongea ukweli, wakitoka nje wanajidai everything is going OK
Pia wabongo ni mabingwa wa kushadadia udaku ndiyo maana hata vijarida vya Shigongo vinauza sana kuliko magazeti ya maana.
 
Kama zipi hizo sijawahi sikia chochote cha msingi kapatia zaidi ya udaku na umbea na mijitu mijinga inaamini. Mwanaume Lazima uwe chakula kumuelewa huyo demu

Kama unachosema ni kweli basi utakuwa unaishi nje ya nchi hii na utakuwa na matatizo makubwa ya akili na sio mtu wa kujamiiana na wanajamii wenzako hata humu utakuwa unaingia kwa nadra sana.
 
Naona ' njaa ' sasa imeanza kumtafuna huko aliko Los Angels nchini Marekani. Na ni kupitia hizi hizi ' njaa ' zake ndipo atakapowarahishia Kazi ' wanaomsaka ' na yawezekana Yeye anaweza kudhani labda sijui Mume wake kaamua kumpokonya Watoto wake ila kumbe nyuma ya pazia tayari ' Mafia ' wameshafanya yao ni suala la muda tu wanaweza kufanya yao. Dunia ya leo siyo ya ' Kujiamini ' na ' Kuamini ' Watu hivyo na uzuri au ubaya ni kwamba karibia 99% ya wanaofanikisha Wewe kupatwa na ' matatizo / majanga ' ni hao hao Marafiki zako / Watu wako wa karibu unaowaamini.

Hivi wewe kweli ni wa kusema njaa inamtafuna Mange? Na hiyo App yake yenyewe imeshajaa watu kibao. Mange ni muhimu sana kwa wanaotambua umuhimu wake
 
Huu ndio ukweli. Hakuna ambaye yupo mtandaoni asimfatilie mange. Uwe ccm, uwe mpinzani, uwe huna chama, uwe mpenda umbea, uwe una mpenda, uwe humpendi.
Hakika wafuasi 1.1m tena asilimia kubwa ni wabongo hata wanaomponda wamo au WAPO.
 
Endeleeni kulishwa matango pori mwenzenu anapiga hela, wajinga ndio waliwao.
 
Kama zipi hizo sijawahi sikia chochote cha msingi kapatia zaidi ya udaku na umbea na mijitu mijinga inaamini. Mwanaume Lazima uwe chakula kumuelewa huyo demu
Tunaamini sana ndio ,kama angekuwa anapost uongo mbona hamjitokezi kukanusha nyu.. Mbu nyie?
 
Back
Top Bottom