Naona ' njaa ' sasa imeanza kumtafuna huko aliko Los Angels nchini Marekani. Na ni kupitia hizi hizi ' njaa ' zake ndipo atakapowarahishia Kazi ' wanaomsaka ' na yawezekana Yeye anaweza kudhani labda sijui Mume wake kaamua kumpokonya Watoto wake ila kumbe nyuma ya pazia tayari ' Mafia ' wameshafanya yao ni suala la muda tu wanaweza kufanya yao. Dunia ya leo siyo ya ' Kujiamini ' na ' Kuamini ' Watu hivyo na uzuri au ubaya ni kwamba karibia 99% ya wanaofanikisha Wewe kupatwa na ' matatizo / majanga ' ni hao hao Marafiki zako / Watu wako wa karibu unaowaamini.