Mange awalipua wauza unga

Mange awalipua wauza unga

Huyu ya akina Makamba yalimshinda kaanza mengine.

Sasa nnahisi huko aliko yuko so bored na ana wehu wa aina fulani.

Hata kama ayasemayo yana ukweli basi bila ushahidi? Yaani utumbo aliouweka angeongezea na maini kidogo, nyama kidogo.

Ana Stress sana
 
Kukurahisishia,huyu ni dada wa mujini enzi hizo alikuwa anadeal na mambo ya mamiss,ni muke ya muzungu huko LA pia,mama wa watoto watatu,kada wa ccm pia etc etc wasifu wake tunaweza jaza page kwa uzuri na ubaya
Pia mmoja wa wazazi wake alijiua kwa kuzidiwa kete na muuza madini.
 
kuwataja bila ushaidi ni sawa na kupga kelele tu umu..kama ana ushaidi auweke wazi watu tutajua kweli upi ila kwa hizi kelele mtu akikupga gap la maisha ghafla basi anauza unga hatuwezi fika..mm hayo majina siku zote nayaskia tu ila cjaona hatua zozote zaid naon ni kama wivu tu
Sasa nani mwenye kuchukua hatua? Ni Mange au vyombo vya dola? Yeye katoa hints, Kama wanataka ushahidi basi wamwulize atawapa...
 
Kwani kuna watu wanalazimishwa kubwia unga?mbona sisi wengine hatuli unga? Sigara zinauzwa hadharani wengine wanavuta wengine hawavuti..Mimi naona kuwa mteja ni kujitakia tu
 
Nijuavyo Chifupa na aliyekuwa mumewe wote walikufa kwa ukimwi. Wewe kama unajuwa zaidi, polisi zipo wazi, peleka mashtaka yako huko.

Kuhusu CCM ngoja nikuulize, mama'ko na baba'ko (kama unamjuwa) hawajawahi kuwa CCM?

Isitoshe, athari za unga hazijui chama.


Namuonea huruma mme wako.... Atakuwa anapitia mitihan mikubwa sana kwenye uso huu wa dunia
 
idi azan mmmh halafu ni jamaa wa system inakuwaje jamani mbunge auze hii mavitu aangaliwe tu?
 
Nijuavyo Chifupa na aliyekuwa mumewe wote walikufa kwa ukimwi. Wewe kama unajuwa zaidi, polisi zipo wazi, peleka mashtaka yako huko.

Kuhusu CCM ngoja nikuulize, mama'ko na baba'ko (kama unamjuwa) hawajawahi kuwa CCM?

Isitoshe, athari za unga hazijui chama.
hawajawahi na hawatawahi kuwa ccm,kama baba ako na mama ako walikuwa huko,basi wangepambana na hao waleta unga ccm.
 
mjinga wewe atoe ushahidi afe??hapa ndio wakati mzuri wa serikali kufanya uchunguzi wa kina.wapi AMINA CHIFUPA??
Mjinga mwenyewe mtu ka ana ushahidi apeleke mahakamani. Kwani hyo sembe MTU huwa ana fosiwa kutumia bila ushahidi ni chuki tu na wabongo maisha yaoiwashinda na kuona wamrpitwa kimaisha huanza majungu.
 
Haya majina ya mange ni cha mtoto jk alisema awataja nchi itatikisika anajua ukitaka kukomesha hii biashara anza kupambana Na mwenyekiti biashara yao Na hao ndio rais alisema nchi itatikisika kwa viongozi hawa Wa ccm ndio wanalolipoteza taifa kila sehemu
Tulikuwa na msanii kwa miaka 10 mkuu!
 
hawajawahi na hawatawahi kuwa ccm,kama baba ako na mama ako walikuwa huko,basi wangepambana na hao waleta unga ccm.

Ushamuuliza babuyo na bibiyo wa upande wa mama'ko, maana nnauhakika wa upande wa baba'ko huwajuwi. Jee, na wao hawajawahi kuwa CCM?
 
Mjinga mwenyewe mtu ka ana ushahidi apeleke mahakamani. Kwani hyo sembe MTU huwa ana fosiwa kutumia bila ushahidi ni chuki tu na wabongo maisha yaoiwashinda na kuona wamrpitwa kimaisha huanza majungu.
hiyo mimba sasa,umeaanza kunichukia buree.kwani wabongo wote walioshindwa maisha ndo wenye chuki na wauza unga???think out of da box bibie.
 
Ushamuuliza babuyo na bibiyo wa upande wa mama'ko, maana nnauhakika wa upande wa baba'ko huwajuwi. Jee, na wao hawajawahi kuwa CCM?
nimewauliza,kumbe wewe ni ndugu wa damu.tena foxy yule mbwa wetu aliyepewa hilo jina kumbukumbu ya wewe kutoroka kijijini.tena ccm ilikuchukua mwenge ulivyokuja.rudi kijijini wewe.Mpe hi Dj mbowe wetu.PEOPLES POWER,PEEEEEEEEEEEEEEOPLES POWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEER.mpaka kieleweke
 
hiyo mimba sasa,umeaanza kunichukia buree.kwani wabongo wote walioshindwa maisha ndo wenye chuki na wauza unga???think out of da box bibie.
Hahaaa sasa mimba imetoka wapi wewe una lako na kina shamimu kutwa kuwachafua acha zako ungekuwa na nia ungepeleka ushahidi majungu na chuki hayafai ulianza na January kisa mwamy alikutosa ushost Fanya maisha yako nitaamini siku wakikutwa na ushahidi hadharani bila hivo ni majungu tu
 
Hahaaa sasa mimba imetoka wapi wewe una lako na kina shamimu kutwa kuwachafua acha zako ungekuwa na nia ungepeleka ushahidi majungu na chuki hayafai ulianza na January kisa mwamy alikutosa ushost Fanya maisha yako nitaamini siku wakikutwa na ushahidi hadharani bila hivo ni majungu tu
ok,yaishe.asubuhi njema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom