Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,580
- 18,222
Huyu ya akina Makamba yalimshinda kaanza mengine.
Sasa nnahisi huko aliko yuko so bored na ana wehu wa aina fulani.
Hata kama ayasemayo yana ukweli basi bila ushahidi? Yaani utumbo aliouweka angeongezea na maini kidogo, nyama kidogo.
Ana Stress sana