Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,115
- 136,844
Lakini juzi waziri si alisema wanakamatwa kimya kimya........?.....ukitajwa tu wanakung'ang'ania........Ngoja tuone nini kinafuata.........
Kwa hiyo ishu ni kutajwa tu?
Hata kama sina ushahidi, nikikutaja wewe Preta ni muuza unga wa Yaeda chini na juu, basi, unang'ang'aniwa?