Mange awalipua wauza unga

Mange awalipua wauza unga

akili zako fupi wew..sas unapiga kelele kwa kuambiwa bila uhakika huo ndo wivu wa kike unashabikia kitu hujui lolote..
wewe una wivu wa kiume?kama una akili ndefu bora ungekaa kimya tuu
 
Nikimskia mtu kama Mage anapambana na wauza madawa nabaki nikiduwaa! Wenye mamlaka ya kupambana na haya madawa watoto wao ndiyo vinara wa kuyauza haya madawa! Aliowataja hawana ushahidi wa moja kwa moja kuwatia hatiani! Wanaodakwa waachiwa uraia angalieni Chid Benz
 
Huyo dada amesahau kuwa baba yake ndiye muasisi mkuu wa kusambaza semba hapa tanzania
ila baba yake alikuwa na hela ndefu sana halaf benet na Mkwere. Licha ya mihela yote akajiua kwa kunywa sumu kwa ajili ya mchepuko tuuuu. Papuchi bana.
 
Hii kitu ilishapenya mpaka kwenye Chama wakafanya ni moja ya source of income za chama na hii ni makusudically ili watu wafanye biashara yao vizuri.

Jiulize, ni kwanini Mwenyekiti alitulia na majina mfukoni na hakudhubutu kugusa mtu?
 
Kwa jinsi Chid alivo kwa sasa, ni huzuni kubwa. Ray C alimwambia akamtosa. Methadone haitaweza kumsaidia kweli
 
Unga unahitaji ushilikishwaji wa jamii kwa ujumla ili kuutokomeza, hao wakina chid watu walikua wanawaona tangu mwanzo lakini sasa wanashangaa mazara yake kanakwamba mwanzo hawakujua
 
Mange Kimambi on Instagram: “Chi chi chi chi Chidi Benz... I respect huyu msanii sana. Ni Mtu wa kujitolea, about 4 years ago nilikuwa na event ya Watoto yatima pale…” <br /><br /><br />Shida ya serikali hata watanzania waadilifu wakifichua wauza unga, majambazi serikali haitilii maanani mfano ni kwenye hii link hapa chini: Mange Kimambi on Instagram: “Chi chi chi chi Chidi Benz... I respect huyu msanii sana. Ni Mtu wa kujitolea, about 4 years ago nilikuwa na event ya Watoto yatima pale…” wametajwa watu maarufu wanaouza madawa ya kulevya wakiwamo viongozi wakubwa sana wa nchi.Je, inamaana TCRA, Polisi, Takukuru hakuna hata member mmoja hapa Jamiiforum??<br /><br />Lets take it seriusly...kama mtanzania anathubutu kuwataza mapapa wauza unga kwanini vyombo vya sheria visichukue nafasi yake kuanza kuwachunguza/kiwachukulia hatua za kisheria????<br /><br />Lets be seriusly people....
 
kuwataja bila ushaidi ni sawa na kupga kelele tu umu..kama ana ushaidi auweke wazi watu tutajua kweli upi ila kwa hizi kelele mtu akikupga gap la maisha ghafla basi anauza unga hatuwezi fika..mm hayo majina siku zote nayaskia tu ila cjaona hatua zozote zaid naon ni kama wivu tu
Mkuu tuwe wakweli,kazi ya vyombo vya usalama ni kufanyia kazi fununu km hz,hv unataraji Mange angeweka na ushahid kwny hyo post???
Wauzaji wanafahamika na polisi hufika kila siku kuchukia 'ushuru' wao kwa hawa watu,hv km tu mwananchi wa kawaida anaona itashindwa kuona hii serikali inayojiita yenye 'mkono mrefu'!!!
 
Huyu mange kimambi ana jua sana jinsi ya ku post ishu zake huu ana lipua mabomu yake jumamosi au jumapili alfajiri ili jumapili yote tukiwa tuna pumzika nyumbani Ni kujadili bomu lake good timing kimambi
Na yule anaetumbua majipu siku ya alhamisi na uteuzi wiki end je
 
who is she to say who is who?
She is Tanzanian Citizen
kuwataja bila ushaidi ni sawa na kupga kelele tu umu..kama ana ushaidi auweke wazi watu tutajua kweli upi ila kwa hizi kelele mtu akikupga gap la maisha ghafla basi anauza unga hatuwezi fika..mm hayo majina siku zote nayaskia tu ila cjaona hatua zozote zaid naon ni kama wivu tu
Kwahiyo wewe tayari unao Ushahidi kuwa hawauzi??? Kiufupi wewe na Mange nyote hamna Ushahidi, kama issue ni Ushahidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom