Mange awalipua wauza unga

Mange awalipua wauza unga

She is Tanzanian Citizen.
A Tanzanian citizen, kwa hiyo ukiwa Tanzania citizen ndio ukawaandike watu mtandaoni ukiwapa tuhuma serious kama hizi bila maelezo yoyote ya ushahidi na watu wakuchukulie serious? watu hawajielewi, huyu ni wa kupuuzwa
 
A Tanzanian citizen, kwa hiyo ukiwa Tanzania citizen ndio ukawaandike watu mtandaoni ukiwapa tuhuma serious kama hizi bila maelezo yoyote ya ushahidi na watu wakuchukulie serious? watu hawajielewi, huyu ni wa kupuuzwa
Nilidhani unataka kujua tu ni nani?? lol.
 
Kajibiwa.
 

Attachments

  • 1458460087964.jpg
    1458460087964.jpg
    55 KB · Views: 44
Kwani huyo CHID alishikiwa bunduki abwie hayo maunga? Tabia zake mbaya ndio zimemponza, mngeanza na yeye, ndipo hawa wauzaji wafuate! Mpumbavu sana!
 
Hawawezi kuchukuliwa hatua bila kuwa na ushahidi wa kutosha mengine ni majungu mtu akikuchukia basi
Wee unataka ushahidi gani?unataka mpaka wakamatwe nao mkononi?wao hawauzi kwa kutembeza ila wana vijana wao wanaowatuma.na hao vijana wameshakamatwa sana na wakawataja mabosi wao ila serikali inawaogopa.
 
ulaya kukiwa na fununu kma hizi,....unafatiliwa na kutaftiwa sababu,......
utabanwa kwenye kona ndogo2 hata kwenye kutokulipa kodi
au kasababu chochote2,....unachezea jela miaka maisha,...
hapa ketu ukijulikana unasafishwa
 
Wee unataka ushahidi gani?unataka mpaka wakamatwe nao mkononi?wao hawauzi kwa kutembeza ila wana vijana wao wanaowatuma.na hao vijana wameshakamatwa sana na wakawataja mabosi wao ila serikali inawaogopa.
Ungetaja hao waliokamatwa na kuwataja basi maana vinginevyo ni majungu tu
 
Nani wa kufunga paka kengele? ile orodha aliyopewa JK ilipotelea wapi?
Sana sana mtaambiwa wote hao wameshadakwa kimya kimya; wengine wanatumbuliwa laiv lakini hao ni kimya kimya jiulize kuna nini hapo
 
Hata kama ayasemayo yana ukweli basi bila ushahidi? Yaani utumbo aliouweka angeongezea na maini kidogo, nyama kidogo.

"Majina si umewekewa? Nenda kafanye homework"

Nakumbuka hayo maneno yako.

Hivyo basi yeye kaweka utumbo hayo maini unayoyataka wewe nenda kafanye homework.
 
Ungetaja hao waliokamatwa na kuwataja basi maana vinginevyo ni majungu tu
tatizo lako bhado mtoto mdogo.haujakuwa.na hauijui hii nchi.kuna mtoto mmoja wa mkubwa alikamatwa na unga china baba yake akapanda ndege usik usiku kumuokoa,kuna mnafanya kazi mkubwa wa airport ana husika,sitaki kutaja majina maana hawachelew polis wenu kutafuta information za watu
 
tatizo lako bhado mtoto mdogo.haujakuwa.na hauijui hii nchi.kuna mtoto mmoja wa mkubwa alikamatwa na unga china baba yake akapanda ndege usik usiku kumuokoa,kuna mnafanya kazi mkubwa wa airport ana husika,sitaki kutaja majina maana hawachelew polis wenu kutafuta information za watu
Hayo ndiyo majungu sasa ukisikia maana wewe ndiyo mtoto na hizo ndiyo hadithi mnazojazwa ujinga bila ya kutafakari na wewe unakubali.

Hivi hiyo safari ya china wewe unaijua na kwa akili yako ya kuambiwa unadhani mtu anaweza akasafiri usiku kea usiku na akarudi Nyumbu bwana
 
Inawezekana Mange anajua kidogo sana kuhusu hii biashara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom