jisanja
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 1,075
- 684
Namuelewa Sana huyu Dada ila wengi hua wanamuona chiz...Chizi huyu anatanga na njia anahangaika.
[HASHTAG]#ana[/HASHTAG] Akil timam
Namuelewa Sana huyu Dada ila wengi hua wanamuona chiz...Chizi huyu anatanga na njia anahangaika.
Sio kwa kejeli matusi anayowapa viongozi wa nchi hii akiwemo rais, kama ni double agent basi waliomfanya awe agent watakuwa matahira kuzidi yeye,Kuna vitu huwa najiuliza sana ,what if Mange ni double agent ? Kwa maana ya kwamba anaonyesha anapigania udhalimu wa serikali kumbe pia serikali inamtumia kupata vitu fulani ?
Hawa wanaotuma videos au pictures kupitia whatsapp wana uhakika gani taarifa zao zinaishia kwa Mange ?
Hayo ni maisha yake binafsi hayatuhusu hata Kama angekuwa anaishi mbinguni.muhimu kwetu ni kutujali na kutusemea sisi tulioko kwenye matatizo.Who is mange kimange?? Anaishi tz hapa?? Anatibiwa hospital za tz hapa?? Alipiga kura?? Alikuwa na mchango gani ndani ya chama?? Mara ya mwisho alilipia lini kadi yake??ana mchango gani kwa taiga?? Ameshawahi kuwa hata Kiongozi wa mtaa??
Kadi ni mali ya chama .... anaweza kukamatwa na kushtakiwa kwa kosa la kuharibu mali ya chamaNaomba kuuliza,hivi kadi zinaruhusiwa kuchomwa kisheria? Au zinapaswa kurudishwa kwa chama husika.?
Nitoeni tongotongo mwenzenu.
Halafu unakuta wanalia lia tunataka uraia wa nchi mbili!!!! Kwa tabia hizi nani awape thubutu.Atakuwa keshakuwa raia wa hiyo nchi na keshaukana uraia wa TZ maana hata akija aje na visa ya watalii na akae hotelini.
Huu ni mwanya sio pengoHatari Sana, Mwanachama Hata Mmoja Anapoondoka Kwenye Chama ni Pengo
wote waliomsifia wanaisoma namber za bialamulo chato bungelengele kaganda nyakaula ngalla.
swissme
Kupitia mtandao wa instagram ameweka video akiichoma kadi yake ya ccm huku akiongea na mwanae kuhusu mambo ya udikteta Tanzania.
Hayo ni mawazo na acha niyaheshimu vivyo hivyo nawe yangu yaheshimu.Lazima uwe taahira kufikiria kuwa kuna mtanzania ambaye anatakiwa kuhama au kuhamishwa nchi kwa sababu yoyote ile. Hakuna mtanzania mwenye haki zaidi ya utanzania kuliko mwingine. Ni lazima uwe punguani kuamini kuwa kuna watanzania wenye haki ya kuhamisha watanzania wengine.
Tutapishana na kutofautiana kiitikadi, kimtazamo na kifikra, lakini mwisho wa yote, sote ni watanzania wenye haki ya utaifa wetu inayolingana.
Hivi Serikali Imawahi Kumjibu Jambo Gani Jingine Ukiachana Na Ule Uzushi Wa Makamu Wa Rais Kujiuzulu ?Kiongonzi hawawezi kuona hilo Serikali inatumia nguvu kumjibu mtu ambae mnamuita chizi