Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,800
- 71,222
Mtwara wapo wananchi walirudisha kadi za CCM Rais Samia akamla kichwa DC na DED wake tena akiwa kachukia hasa.
Mara vitendo hivyo vikashika kadi, Tanga kijiji kizima kuanzia mwenyekiti hadi mama wa nyumbani. Tena mwenyekiti wa kijiji akafikia kutamka wazi kuwa Andazi na CCM yeye anachagua Andazi.
Mama huku akijitafakari na CCM yake muziki ukaangukia Ngorongoro. Mama ya kadi za CCM zikatupwa utadhani uchafu unaokera kisa Chadema kuwafumbua macho wamaasai juu ya utu na tamaduni zao kuenziwa.
Sasa sio siri tena Mama huyu kapanic na amejua kuwa yale yaliyokuwa yanaogopwa na watangulizi wake ya CCM KUWAFIA MIKONONI yanaenda kutimia kwake.
Hotuba ya jana kuivaa Chadema ilikuwa mbovu kuliko maelezo na imemtoa relini lakini sababu kuu ni wimbi la KUTUPA KADI.
Mara vitendo hivyo vikashika kadi, Tanga kijiji kizima kuanzia mwenyekiti hadi mama wa nyumbani. Tena mwenyekiti wa kijiji akafikia kutamka wazi kuwa Andazi na CCM yeye anachagua Andazi.
Mama huku akijitafakari na CCM yake muziki ukaangukia Ngorongoro. Mama ya kadi za CCM zikatupwa utadhani uchafu unaokera kisa Chadema kuwafumbua macho wamaasai juu ya utu na tamaduni zao kuenziwa.
Sasa sio siri tena Mama huyu kapanic na amejua kuwa yale yaliyokuwa yanaogopwa na watangulizi wake ya CCM KUWAFIA MIKONONI yanaenda kutimia kwake.
Hotuba ya jana kuivaa Chadema ilikuwa mbovu kuliko maelezo na imemtoa relini lakini sababu kuu ni wimbi la KUTUPA KADI.