YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,900
- 52,050
Lakini Huyu dada si alikuja kupigania uongozi katika nyadhifa ndani ya CCM kipindi kile?? Kwani wana CCM hawakujua ana uraia wa USA?
Ndio maana hakukatiza alikatwa kimya kimya kama Lowasa vile! CCM huwa hatupigi yowe ni kimya kimya fyaa jina tupa kule.