Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,676
- 8,246
Usemayo hayo ni kweli au umesikia tu wakisema wapita njiani?
I know how the famous Jongwe started dealing with the land issue. I know how the land issue was part of the independence agreement. Do you know who is Rekayi Tangwenya? google the name then get to know what happened, may be.
Do you remember the bloody Matabele war? did you or have you ever heard of it?
Haya tuachie tunaoyajua mkuu. musiingie kichwa kichwa kwenye siasa za Afrika na Ulaya. Mugabe ndo anayefaa. wengine hawa ni taabani kabisa!! Hawaijui Afrika na hawajui hata Ulaya inawaonaje.Wakishangiliwa na kuitwa mara kadhaa wanaropoka na kugawa kila kitu!!!
I you serious au umetumwa. Unaposema ''do you remember what do you mean? Unafikiri habari kila tunazoandika tunapata kutoka Google? Ati son of Africa, Africa my foot! Mbona kila kukicha analilia kwenda ulaya? Kajamaa ni kauaji fact, tena kanaua Waafrika wenzake, sasa kako mbioni kuachia madaraka kwa kimada wake ambae ni Dr sasa baada ya kusoma kwa siku 60 ati ndio aongoze nchi. Umalaya waliokuwa wanafanya sasa ati ndio tegemeo la Zimbabweans. Wacha kuropoka kwa mambo usiyoyajua.
Mugabe ni mfano wa kuigwa na wajinga.