Maneno ya kejeli ya mume wangu

'KHERI KUWA NA PENGO KULIKO KUWA NA JINO BOVU'.. Fanya maamuzi magumu for your own sake!

Finally someone is getting it.. Asante kwa kumpa huu ushauri... Most of us don't know or understanding what is really meaning of marriage.. Marriage ni wito katika wito wowote tunaoitwa na Mungu kama hatofanyi bizuri God is willing help us kama tuko willing .. na akituona tuna pride in that calling God takes that calling and give it to someone else and this is including marriage.. Jamaa anajiona husband kivyake yeye na Ku act kivyake hakika hivyo Calling alishaiuuwa because of his selfish , pride and lack of knowledge .. So its up to her to decide it.. Thanks..
 
Ukisoma ushauri wa watu wengi hapa ndio unaelewa kwanini ndoa za wazazi wetu zilidumu lakini siku hizi kuachana kumekuwa kawaida kupita kiasi..I pity this generation, Lord have mercy!!!!

Ikiwa kwa kila jambo la aina hii suluhisho ni kuachana, kutakuwa hakuna ndoa kabisa..karibu kila ndoa once in a while hupitia vikwazo vya namna namna..vyanzo vya haya yote ni wanandoa kupunguza ukaribu na Mungu na kumruhusu shetani a-dictate happenings kwenye maisha yao, shetani hawezi kufurahia ndoa hata kidogo..atapata wapi wachepukaji ndoa zikitulia?

Lord have mercy..msaada wa Mungu unahitajika mahali hapa. I pray for his strength in you Nacherewa
 
Last edited by a moderator:
Kuna ya kuvumilia lakini so dharau na matusi.

Move on girlie.

Dear si afadhali na haya ..na ya kuleta wanawake home .. their matrimony home.. isitoshe basi home bali kitanda chao wanacho share andthen its not one woman , multiple women.. Jesus nisaidie ... I will never understand this ... Thanks..
 

Dear Mimi nimekuelewa kabisaaa .. Binafsi nilishawahi kumuambia muhusika wangu aliyetaka kunioa in the past neno hilo hilo la Biblia Jicho linalokukosesha Raha ling'oe kwa maana masononeko Pia ni dhambi... Na kwa nguvu za Mungu nili moved on and now I experience the meaning of the True Love.. ..Amen.. Thanks..
 
Last edited by a moderator:


God did not give us a spirit of Fear But of Power and Love and Self Control . 2 Timothy 1:6-7.. Thanks..
 
Last edited by a moderator:
Dada pole. Wewe ni wa imani gani?
kama ni muislamu basi uislamu unaruhusu mwanamke kujitoa(khul-u) katika ndoa. Na ndio moja ya majukumu ya kadhi. Wanaume wamepewa mamlaka ya talaka, na wanawake wamepewa KHUL-U. nenda kwa kiongozi wa dini katika eneo lako na mueleze shida inayokukabili. Mumeo ataitwa na taratibu za khul-u utaelekezwa na hatimae utakuwa huru kuolewa na mume mwingine. Ndoa ikifikia hatua hiyo ni HATARI. Uislamu haukumuweka mwanamke anyanyasike ndani ya ndoa kisa eti kaolewa na mume tu ndio mwenye mamlaka na talaka, BIG NO!
Nimezungumza kwa upande mmoja wa uislamu, ikiwa wewe ni wa dini nyingine basi naamini na wataalamu wa imani hiyo watakuja hapa na kukushauri.SIPENDI NIONGELEE IMANI ISIYO NIHUSU nawaachia wahusika, na huo ndio uungwana
 

Very wise advice.. Be blessed.. Thanks..
 
Rejea kiapo chako vha ndoa tafadhali, kwamba utampenda mume wako kwa shida na raha sasa hapo ndio kuna shida inabidi uongeze upendo zaidi.

Hiki ndio kipindi cha kumpenda mumeo sana ili abadilike mwenyewe.

Wewe una hormonal inbalance na mumeo ana low sperm counts, hii ni hatari sana.

Pigana kupata mtoto tu mambo mengine achana nayo utakufa mapema. Kwa aje yako unaelekea early monopouse kwa hiyo angalia usije kukosa mtoto.
 

hapo kwenye RED mkuu SHIDA si sawa na MATESO. Kiapo kilisema SHIDA NA RAHA sio MATESO na RAHA. shida inavumilika lakini mateso hayavumiliki. Na wanawake wengi wanataabika kwenye ndoa kwa sababu ya hilo neno SHIDA wakiamini SHIDA=Mateso.
Huyu bwana angekuwa na hilo tatizo tu la low sperm count hiyo ni SHIDA na huyu dada ndipo anatakiwa AVUMILIE KWENYE HIYO SHIDA lakini jamaa anachepuka tena waziwazi halafu eti huyo dada avumilie kuchepuka kwa mumewe kwa sababu hiyo nayo ni SHIDA!!Khaaa! BIG NO, hayo ni MATESO YA KISAIKOLOJIA na ni HATARI kwa afya. Akimletea UKIMWI je?

Hapo kwenye blue hiyo ni solution ya KIDHANIFU(Utopian) ,yani hivi unaanzaje au unaanza anza vipi kuongeza upendo kwa mtu wa type ya huyu jamaa? Mkuu upendo sio mafuta kwamba unamimina tu kwenye kidumu, its all about MOYO WA MTU WENYE HISIA. hivi hisia za kuongeza upendo zitatoka wapi JITU lenyewe hata nyumbani halilali?kuchepuka kila siku...lol labda huyu dada awe katolewa nyongo ndio anaweza hivyo. Na hii ndio imani potofu waliyonayo wanawake wengi kwa kuamini katika situation kama hii ni kuongeza upendo tu then jamaa atarudi kundini.....kichepuka ni SILKA, na SILKA si tabia kwamba unaweza kuibadili.
 

Dada wakat fulan kutengana ni muhimu na lazima!! Ili kila mmoja aone nafasi ya mwenzie ktk maisha yake ni ipi!!

Alikupenda kwa lengo la kupata watoto ila si mapenzi kutoka moyoni!!!

Jipe break! mpe break! Na ktk hiyo break trust me utapata majibu ya way forward yote! Whether ni wewe ndo unamhitaji au yeye au wote mnahitajiana!
Mungu akusaidie sana
 
Kwa ushauri kama huu kwa nini divorce rate ya TZ isiwe kama huko magharibi!!
 
Nafurahi sana nikikutana na watu kama wewe wanaotumia ubongo na si hisia kufikiri....shida na raha haimaanishi mume kulala nje...akifilisika simwachi...ndo shida hiyo....akiktwa miguu simwachi....lakini kukitembeza mchana kweupe....hell no!


Kuna mdada tena mumewe alikuwa MD alikitembeza weeee peku peku in the name of kusaka baby...hakupata cha baby wala nini na tushawazika long time....watu vumilia, vumilia....sali ...sali....aya kenda mbinguni..

Na umeniua hapo uliposema upendo si kama switch una turn on and off...mwanaume wa hivi unaendeleaje kumpenda???? watu wana mix upendo na dependency (be it financial or emotional)


 

Mkuu asante, unajua kuna assumptions/theories nyingi wanawake huwa wanamezeshwa wakati wa wa ndoa na nyingi ni negative na wanawake wanazibeba na kuishi nazo kwenye ndoa kwa mateso makubwa. Kisa tu aliambiwa na bibi/somo/kungwi kuwa ndoa ni uvumilivu....hii hatari sana ,kuna haja ya kubadilika kwa kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…