Kwa hiyo hapo aombeee nini? Mume aanze kumpenda na kumthamini na kuacha kumtukana?
au Aombe mume akibeba gonjwa huko lisimkute? Au alie tuuuuu na kuomboleza kwa kuwa kamtambua adui yake hivyo adui ageuke rafiki? Mbegu za mume ziimarike naye apone azae?
Kuna vitu vya kulia, kufunga na kuomba sio hivyo!
Linapokuja suala la ndoa.... mengi huchunguzwa toka mwanzo. Inaonekana dhahiri huyu hakuwa kusudio la Mungu kwake na ndio maana wanatofautiana kiasi hicho. Huyu hakuwa ubavu wake.... kuna mistake za uchaguzi zilikuwepo hapo hakuna cha kuzirekebisha. na ndio maana Mungu hajawapa mtoto ambaye kwa namna moja angekuwa kwazo.... aondoke hapo!
Hakuna Zaburi 3:14-16
Ndoa hizi, yaani watu wanaishi na maumivu ya moyo kila siku. Hivi ulishawahi jiuliza lini utakuja kupata furaha maisha mwako? Tangu unasoma shule ya msingi, sekondari, chuo, kazini maisha hayo yote yamejaa stress. Haya mtu unavumilia tu yote hayo. Ukasema ukija pata kazi utaishi maisha ya furaha, kazi nako majungu na fitina ndio zimejaa, hakuna furaha wala amani ila unaendelea kuvumilia tu. Unasema basi ngoja nioe/niolewe ili niwe na mwenza wa kunifanya nisahau haya maswaiba ya nje, huko ndani ndio balaa, maana afadhali hata hayo mengine unaweza kuyawacha huko nje kwa muda, lakini mwenza wako nae anakua hana yale uliyoyataraji, yaani ni bora hata hao wa anje hawana umuhimu. Hivi lini watu wataishi maisha ya furaha, kwa mtindo huu ina maana mtu hadi unaingia kaburini wewe ni matatizo na masononeko ya moyo huna hata raha. Ahaaaa, maisha kumbe ndivyo yalivyo, halafu unanishauri ndoa, thubutu, bora raha nijipe mwenyewe hata ukisema ni mbinafsi sawa tu, lakini sio kuishi maisha ya mashaka kila siku as if uko gerezani. Hakuna kitu kibaya kama kutokuwa na amani ya moyo. Wanakuambia raha jipe mwenye, sasa unaishi maisha ya mateso kama mfungwa. Poleni wenye maisha ya namna hii
Unamaanisha nini? wengine sio waandishi wazuri wa kiswahili kwa hiyo uniwie radhi kama lugha ni mbovu.
Me nashindwa kabisa kuelewa yaani toka nianze kujitambua sijawahi kupata furaha ya moja kwa moja kila kitu duniani kimejaa mauzi na karaha tupu..Binadamu kuzaliwa hadi kufa anahangaika kutafuta furaha na amani ya moyo tu!
ujaitaka furaha ndiyo maanaMe nashindwa kabisa kuelewa yaani toka nianze kujitambua sijawahi kupata furaha ya moja kwa moja kila kitu duniani kimejaa mauzi na karaha tupu..Binadamu kuzaliwa hadi kufa anahangaika kutafuta furaha na amani ya moyo tu!
ndio i'mr u for real!???
ujaitaka furaha ndiyo maana
umejiwekea mazingira ya kuwa furaha yako ipo nje yani watu ndiyo watakupa... (but furaha unayo wewe fanya maamuzi tu ya kuitaka hiyo furaha?)kuna mtu asiyetaka furaha ???
aisee mie napenda wanawake wa kufanya nao sex ni Pm plz
r u for real!???