Maneno matamu ya Barua za Kale...

Maneno matamu ya Barua za Kale...

haya mashairi matamu hapo lazima ndege aingie mtegoni
 
Asiyejua Kununa
P.o Box Mapenzi yalipozaliwa

Kwako wangu wa ubani AshaDii
Upatapo waraka huu elewa mie mwenzio sili silali
Upendo wangu kwako ni sawa na mchanga wa bahari.
Tupendane wanye wivu wameze wembe

Wako akupendaye mchana na usiku SnowBall
 
Last edited by a moderator:
Asiyejua Kununa
P.o Box Mapenzi yalipozaliwa

Kwako wangu wa ubani AshaDii
Upatapo waraka huu elewa mie mwenzio sili silali
Upendo wangu kwako ni sawa na mchanga wa bahari.
Tupendane wanye wivu wameze wembe

Wako akupendaye mchana na usiku SnowBall

Mpenzi wa Asiyejua kununa
S. L. P Mapenzi yalipotuliya

Kwako Kipenzi cha moyo na roho yangu,
mara baada ya kupata waraka huu akili imeruka kwa furaha,
hata niya ya kumkubali Slave aliyening'ang'ania kunitongoza
kama ruba kumeyeyeka kama barafu kwenye moto wa Petroli!

Mie nakupenda unipendae wenye wivu wacha wajinyonge
kwenye kamba ya radio cassete!

Wako akutunziae penzi la ukweli lisiloyumbishwa.

ADI.

Lol
 
Last edited by a moderator:
Mpenzi wa Asiyejua kununa umetisha..
Usisahau kuja pale chini ya mti karibu na kisima cha kijiji..lolz[

QUOTE=AshaDii;5764599]Mpenzi wa Asiyejua kununa
S. L. P Mapenzi yalipotuliya

Kwako Kipenzi cha moyo na roho yangu,
mara baada ya kupata waraka huu akili imeruka kwa furaha,
hata niya ya kumkubali Slave aliyening'ang'ania kunitongoza
kama ruba kumeyeyeka kama barafu kwenye moto wa Petroli!

Mie nakupenda unipendae wenye wivu wacha wajinyonge
kwenye kamba ya radio cassete!

Wako akutunziae penzi la ukweli lisiloyumbishwa.

ADI.

Lol[/QUOTE]
 
Hebu kama zipo karibu chukua moja utunakilie hapa mdogo wangu. Mie nazipenda saana. Lol
Shem umeanza lini umbea?

Mi nakumbuka moja niliifumania maza alimwandikia baba enzi hizooo Eti "Kwa jinsi navokupenda, kohozi lako kwangu mie ni siagi"

Hahahahaha! Mama bana, khaaa!!
 
Slave umenikusha siku moja nilichapwa sana aagggrrr kisa nimeandikiwa barua!!!
nimeingia zangu ndani nalia nikaambiwa eti nimeenda kuibusu nikaitwa tena kupigwa.....yani nimejisikia vibaya.
 
Last edited by a moderator:
Salamu.
Baada ya salamu napenda kukujulisha kuwa mi mzima wa afya hofu yangu ni ww uliye mbali.
Dhumun la barua hii ni kutaka kukukumbusha kuwa nakupenda kama kama chupi ya dukan na tuendelee kupendana had wenye wivu wajinyonge,tupendane had ziwa victoria likauke.nakuomba mpenz ule chungwa unichunge ucje ukala pera ukanitenga.
Wako mpenz.....
 
Shem umeanza lini umbea?

Mi nakumbuka moja niliifumania maza alimwandikia baba enzi hizooo Eti "Kwa jinsi navokupenda, kohozi lako kwangu mie ni siagi"

Hahahahaha! Mama bana, khaaa!!

hahaha! Umbea sunnah shem... Kuna raha yake!

Ila huo msemo wa mamako nilikuwa siupendi!!! Lol
 
Slave umenikusha siku moja nilichapwa sana aagggrrr kisa nimeandikiwa barua!!!
nimeingia zangu ndani nalia nikaambiwa eti nimeenda kuibusu nikaitwa tena kupigwa.....yani nimejisikia vibaya.







hahahaa Evelyn Salt unaikumbuka na ileeee uliyoniandikia miaka ileeee??? ngoja nikukumbushe ** ROLL DOWN TOU YOU
** KISS BEFORE YOU READ
** " P D N F"--- please do no fold

Roll down to you sweetiepie Babe! Time and ability plus double capacity has forced my pen to dance automatically on this benedicted sheet of paper. Why! this miraculous thing happened is because papie I love you spontaneously and as I stand horizontal to the wall and perpendicular to the ground I only think of you, since you are a fantastic and fabulous guy. papie please Stop haranguing with the feelings in my heart because I love you more than a snake loves rat. To me each day starts by thinking of you and ends by dreaming of you. Each time I see you my metabolism suddenly stops and my peristalysis goes in reverse gear. My medular-oblandata also stops functioning. Crazy crazy ! crazy you may say but this is true. If only you knew what is going on in my encephalon you would understand. That's why I need to see you face to face with you, soon. I think I have to pen-off hear because I still haven't finished studying electrolysis and polymerization. Catch you pa- later. Sleep tight and don't let those bed bugs ever bite you coz you are too sweet a thing for them.
Yourz Ever, Sugar
 
Last edited by a moderator:
Mpenzi wa Asiyejua kununa
S. L. P Mapenzi yalipotuliya

Kwako Kipenzi cha moyo na roho yangu,
mara baada ya kupata waraka huu akili imeruka kwa furaha,
hata niya ya kumkubali Slave aliyening'ang'ania kunitongoza
kama ruba kumeyeyeka kama barafu kwenye moto wa Petroli!

Mie nakupenda unipendae wenye wivu wacha wajinyonge
kwenye kamba ya radio cassete!

Wako akutunziae penzi la ukweli lisiloyumbishwa.

ADI.

Lol
AshaDii maisha yangu si chochote si lolote kwako nipo tayari kuiaga dunia kuliko kushuhudia mahusiano ya wewe na huyo ulienae sasa ni mimi mtumwa wa mapenzi.
 
Last edited by a moderator:
Usitie shaka kabisa kipenzi Smile.

Mie mzima kabisa wa afya, hofu na mashaka ni juu yako ulie mbali na uwepo wa macho yangu kama ilivyo kwa utosi na unyayo na kunifanya kujisikia kuumwa kila nikumbushwapo jina lako lililotawala kupitia smile ya wapendwa wangu wote. Natamani waendelee tu kununa. Lol

Miss you so much like Obama misses Osama.

Hiyo ya Obama kumiss Osama nimeipenda. You've made my day
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom