SANCTUS ANACLETUS
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 3,337
- 4,664
Pumziko gani la Milele? Nani alikwambia ulifa unapumzika? Mwanadamu ni Roho na sio kiwiliwili. Pumziko ni pale Roho inapopumzika vinginevyo msotp unaendelea tu.Kufa siogopi ila huwa sipendi kuona maiti.
Kuna muda nawatamania waliofariki maana wanakuwa wamepata pumziko la milele.
Ikitokea umezaliwa sehemu nyingine unapata nafasi ya kurekebisha uliyoharibu mwanzo ulipokuwa duniani