Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,925
- 110,362
Hivi tukifa tunaenda kupumzika au ni adhabu/moto??
Maana hakuna aliyeenda akarudi
Ni moto🔥🔥🔥 tu kama hujatubu 😂😂
Hivi tukifa tunaenda kupumzika au ni adhabu/moto??
Maana hakuna aliyeenda akarudi
Silali nikikesha kujaza Mali nyingi nyingi nyingi tena napanda usafiri nikatafute nyingine Tena napata ajali nakufa muda huohuo....sijapata starehe ya kile nimekitolea jasho wanaonufaika ni wengine,wanangu hawathaminiwi Tena mwenye sauti nishakufa.Aisee,kilakitu tufanye Kwa kiasUmenikumbusha biblia kitabu cha muhubiri
Muhubiri anasema kila kitu hapa duniani ni ubatili mtupu..Hamna Jambo la maana hapa duniani
Tunakula,tunashiba kisha tunasikia tena njaa,tunapata usingizi tunalala,tunaamka alafu tunalala tena..Unasikia genye, unagegeda unaridhika kisha baada ya Massa kadhaa unasikia tena hamu!!
Tunazaliwa,tunaishi,tunateseka na tozo alafu tunakufa..maisha yana maana gani sasa
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]Ni moto[emoji91][emoji91][emoji91] tu kama hujatubu [emoji23][emoji23]
Kama ambavyo kabla hujazaliwa ulikuwa hujui chochote hivyo hivyo baada ya kifo utalala kimya pasi na kujua chochote !!Hivi tukifa tunaenda kupumzika au ni adhabu/moto??
Maana hakuna aliyeenda akarudi
Kifo ni fumbo.Kama ambacho kabla hujazaliwa ulikuwa hujui chochote hivyo hivyo baada ya kifo utalala kimya pasi na kujua chochote !!
Biblia inatufundisha kwamba lipo tumaini baada ya kifo lkn inatufundisha kwamba jinsi anavyokufa mnyama Ndivyo binadamu Hana tofauti,atakufa hivyo hvyo,..Baada ya kifo ni hukumu siku ya mwisho lkn wafu walio kaburini hawajui chochote wala hawasikii maumivu!! Wamelala kimya
Niliwahi kusoma kitabu cha dini Fulani kwamba tumezaliwa ili tumwabudu MUNGU ( tufanye ibada)Silali nikikesha kujaza Mali nyingi nyingi nyingi tena napanda usafiri nikatafute nyingine Tena napata ajali nakufa muda huohuo....sijapata starehe ya kile nimekitolea jasho wanaonufaika ni wengine,wanangu hawathaminiwi Tena mwenye sauti nishakufa.Aisee,kilakitu tufanye Kwa kias
Fanya..fumbo kiajeKifo ni fumbo.
Unavaa kondom lakini?ndiyo maana nagonga papuchi tu, nisife na kutu
Hakuna snaejua baada ya kifoFanya..fumbo kiaje
ili iweje ? si bora nipige la mkonoUnavaa kondom lakini?
Unaamini Yesu aliwahi kuishi hapa duniani?Kama ulivyozaliwa ukiwa huna ufahamu wa jambo lolote vivyo hivyo ukifa ndio mwisho hautajua lolote na hakuna utakapoenda.
Yani ni mwisho mtimilifu. Dini hizi tu zimevuruga akili za watu.
Ukweli ndio huo.
MkuuNiliwahi kusoma kitabu cha dini Fulani kwamba tumezaliwa ili tumwabudu MUNGU ( tufanye ibada)
Nikajiuliza MUNGU anafaidika na nini Kwa Sisi kumwabudu,na Sisi tunapata faida gani kufanya ibada?
Kwa binadamu linaweza kuonekana Jambo la kipuuzi lkn upuuzi wa mwanadamu ni hekima mbele za MUNGU ..
pengine MUNGU anacheza gemu la kujifurahisha ,na Sisi ndiyo gemu lenyewe,Kwa nn tumpangie cha kufanya?
Lkn lipo tumaini Kwa Sisi tunaoamini ktk KristoHakuna snaejua baada ya kifo
KumbeLkn lipo tumaini Kwa Sisi tunaoamini ktk Kristo
Tunasoma ktk biblia kwamba baada ya kifo hakutakuwa na maumivu tena..hutahisi maumivu ya mwili,wala hakuna tozo mbinguni,huko kuna Amani na furaha,hakuna Julio,tunasifu na kuabudu,hakuna kuhisi njaa,hakuna usku na mchana,ni shangwe Tu mwanzo mwisho
Lkn tumeambiwa waovu watatupwa katika ziwa liwakalo Moto milele[emoji848]
Umeona eeNiliwahi kusoma kitabu cha dini Fulani kwamba tumezaliwa ili tumwabudu MUNGU ( tufanye ibada)
Nikajiuliza MUNGU anafaidika na nini Kwa Sisi kumwabudu,na Sisi tunapata faida gani kufanya ibada?
Kwa binadamu linaweza kuonekana Jambo la kipuuzi lkn upuuzi wa mwanadamu ni hekima mbele za MUNGU ..
pengine MUNGU anacheza gemu la kujifurahisha ,na Sisi ndiyo gemu lenyewe,Kwa nn tumpangie cha kufanya?
Maujinga yapi mkuu?Mkuu
Usipoteze muda kusikila majinga hayo....no such thing!
Tunapita mkuuMkuu
Usipoteze muda kusikila majinga hayo....no such thing!
Maamuzi ni yako, andika wosia mapema watakuchomaNikiwaza kufa naona bora nisingezaliwa, naogopa sana sana hasa kufukiwa kaburini natamani hata kungewezekana mwili wangu ungechomwa moto naogopa mnooo
Marehemu kalishwa maneno.[emoji23]Mleta mada ana hofu ya bure tu..Marehemu hawezi kuandika hayo maneno,hapo pamendikwa na mtu anayepumua..
Marehemu wanasingiziwa tu