Little Angel
JF-Expert Member
- Aug 21, 2011
- 1,212
- 373
OOhhh natamani nilie jamani...............
Usilie jamani.. mi mwenyewe umenitia majonzi sana. Yaani umenikumbusha machungu ambayo si rahisi kusahaulika.
OOhhh natamani nilie jamani...............
OOhhh natamani nilie jamani...............
usikasirike nilikuwa na kusalimia tuu hatujaonana tangu kuisha kwa Tusker Project fameSijasema kuwazidi...........hayo mengine ni Interpretation zako
1siwezi kuamini, jeneza la mandela limeshashushwa kaburini hakuna mbwembwe mambo ni kijeshi duh
Hee... Kwanini wamekataza kupiga picha jamani???
Hawa wazee wana dharau sana, yani JK yuko over 60 na ana wajukuu bado anaitwa Young Man?
Kulia kunahitaji kutamani?
kwa umri wa kk huyo jk ni young man sana!
Kulia kunahitaji kutamani?
Huyu Shaban kisu mtangazaji wa Tbc naona kiherehere cha kujifanya mkalimani kimemuisha baada ya sabc kuanza kukuruma isizulu na xosa.
Boy friend wa Lulu anatutumbuiza kwa sasa.......
Tuendelee kusubili.
Naona kama hapo ndo wamemaliza....
usikasirike nilikuwa na kusalimia tuu hatujaonana tangu kuisha kwa Tusker Project fame
Hee... Kwanini wamekataza kupiga picha jamani???