Mandela Funeral: Live updates

Mandela Funeral: Live updates

Familia ya Mandela iliomba tukio la Jeneza kuingizwa kaburini lisioneshwe....Na kweli halijaoneshwa....
 
1siwezi kuamini, jeneza la mandela limeshashushwa kaburini hakuna mbwembwe mambo ni kijeshi duh

Sisi tunaoshuhudia katika televisheni hatutaweza kushuhudia mazishi, ndivyo ilivyopangwa.
 
Huyu Shaban kisu mtangazaji wa Tbc naona kiherehere cha kujifanya mkalimani kimemuisha baada ya sabc kuanza kukuruma isizulu na xosa.

Boy friend wa Lulu anatutumbuiza kwa sasa.......

Tuendelee kusubili.
 
Huyu Shaban kisu mtangazaji wa Tbc naona kiherehere cha kujifanya mkalimani kimemuisha baada ya sabc kuanza kukuruma isizulu na xosa.

Boy friend wa Lulu anatutumbuiza kwa sasa.......

Tuendelee kusubili.

BF wa Lulu watu mna mambo............
 
Back
Top Bottom