Timu ya wacheza sodo hii, hapa timu hakuna nafikiri msimu huu Wala watu wasijipe presha ya Bure Kwa timu hii...hapo ndipo utakapoona kuwa hii timu Haina hata mchezaji wa maana wa kujivunia, wakati watu wapo serious na football mgt hii timu ilikuwa inakenua meno hahaha