Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hakika tukipata namba 6 atakayekuwa anasukuma mipira kwa viungo wa mbele, itakuwa balaa..kwani tutawatumia Kagawa na Mata ipaswavyo...sasa inabidi wafuate mipira nyuma sana...
 
hapa ndio tunaonaga upmbfu wa huyu moyes. badala ya kumtoa young anamtoa kagawa aaarrrgggh...

Ilibidi...na inaonyesha Kagawa ataanza game dhidi ya Bayern...

Sema inabidi Young atoke, aingie Nani ili apate match fitness, tayari kwa J4..
 
hapa ndio tunaonaga upmbfu wa huyu moyes. badala ya kumtoa young anamtoa kagawa aaarrrgggh...

Game is almost over na tuna quarter final na Bayern Jumanne huenda Kagawa akaanza hiyo mechi
 
ok hapo poa. naona na rooney anapumzishwa hapa kwa ajili ya kwenda kuikandamiza bayern jumanne.
Game is almost over na tuna quarter final na Bayern Jumanne huenda Kagawa akaanza hiyo mechi
 
Kwa kweli dogo Buttner ni mzuri, sema hajaaminiwa sana na DM...
 
After Bayern, we go to Newcastle...we will rape them apart...

3 minutes of added time...

CH14 makes it 4-1
 
Back
Top Bottom