Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

karibu ndugu mchambuzi
Hahaha!

ST - Ivan Toney
RB - Jeremie Frimpong
CB - Jean-Clair Todibo
RW - Nico Williams
LW - Son Heung-min

Eneo la LW sina uhakika nani atafaa ila kwa tiba ya muda mfupi basi Son anafaa sana; uzoefu, uwezo wake wa kufunga na utengenezaji wa nafasi za kufunga ndiyo kitu tunahitaji. Pia, ni shabiki lialia wa United.

Ila kwa sajili hizi sioni zikikamilika, budget haiendani na mahitaji. Ni kazi ya scouts kutafuta watu watakao-fit mfumo wa kocha bila kuvunja kibubu. INEOS wasipoweka mzigo msimu ujao vilio vitakuwa palepale.
 
Hahaha!

ST - Ivan Toney
RB - Jeremie Frimpong
CB - Jean-Clair Todibo
RW - Nico Williams
LW - Son Heung-min

Eneo la LW sina uhakika nani atafaa ila kwa tiba ya muda mfupi basi Son anafaa sana; uzoefu, uwezo wake wa kufunga na utengenezaji wa nafasi za kufunga ndiyo kitu tunahitaji. Pia, ni shabiki lialia wa United.

Ila kwa sajili hizi sioni zikikamilika, budget haiendani na mahitaji. Ni kazi ya scouts kutafuta watu watakao-fit mfumo wa kocha bila kuvunja kibubu. INEOS wasipoweka mzigo msimu ujao vilio vitakuwa palepale.
Hii nakuelewa, tusubri naona hizo sajili tano ni kitu ambacho kinawezekana kabsa within budget kwa timu giant km united.
Itajulikana
 
Hahaha!

ST - Ivan Toney
RB - Jeremie Frimpong
CB - Jean-Clair Todibo
RW - Nico Williams
LW - Son Heung-min

Eneo la LW sina uhakika nani atafaa ila kwa tiba ya muda mfupi basi Son anafaa sana; uzoefu, uwezo wake wa kufunga na utengenezaji wa nafasi za kufunga ndiyo kitu tunahitaji. Pia, ni shabiki lialia wa United.

Ila kwa sajili hizi sioni zikikamilika, budget haiendani na mahitaji. Ni kazi ya scouts kutafuta watu watakao-fit mfumo wa kocha bila kuvunja kibubu. INEOS wasipoweka mzigo msimu ujao vilio vitakuwa palepale.

Apo kwa LW ni bora wakamchukue R.Leào au Savio wa girona
Uyo son anamalizia soka lake apo tot haondoki
 
ST - Ivan Toney
RB - Jeremie Frimpong
CB - Jean-Clair Todibo
RW - Nico Williams
LW - Son Heung-min
Umeeleza Poa sana Mdau!
Sio kwa Nia Mbaya wala Ubaguzi lakini wachezaji Wengi Wenye asili ya "Kiafrika" wana "EGO" Mnoo, Tuna shuhuda Nyingi sana OT za aina ya Hao Wachezaji na Hii List umeweka Karibu 80% ya Hizo ni asili hiyo Hiyo, Kuna Talent nyingi lakini zimepotea kimasikhara sana, AM9, PP6, MR10, wakipata Mikataba Minono wanabadilika Jumla.

Tuna "Academy Proscpects" Wazuri sana na kina Mainoo wameonyesha ukiwa tayari Umri sio ishu, Ukitaka Lifahamu hili tizama timu ya U18 wana Mabalaa. {Lacey, Amass, Bragimov, et al.}

ST- Sesko / Rudisha "Mason Greenwood" Ana faida nyingi sijui suala lake INEOS watakavolitatua,
RB-Vanderson ana faida ya Kimo, Frimpong mzuri sana kama "Wingback" Sio Mzuri sana kuzuia
CB-Antonio Silva + Branthwite / Diomande {Ingawa Siamini sana Umri wake + Ni Black} Kuna Andersen wa Palace mzuri kuongeza Upana wa Kikosi.
RW-Matias Soule / Neto / Olisse
LW-Kvarartskhelia / Mitoma.
CM/CDM - Mats Wieffer /Zubimendi / Joao Neves.

Tukiweza Uza Poa, tukiweza tupa Poa vile vile, [Rashford, Varane, McTominay, Bissaka, Lindelof, Pellistri, Hannibal, Maguire, Heaton, Martial, na Wengine wanaofanana nao] Ericksen na Casemiro wanajua kuishi Kama "Professionals" wanaweza kuwa na mchango "Dressing Room" ila ikija Ofa nzuri toka Arabuni ama Marekani uza Nao na Shaw Pia haaminiki!
 
Umeeleza Poa sana Mdau!
Sio kwa Nia Mbaya wala Ubaguzi lakini wachezaji Wengi Wenye asili ya "Kiafrika" wana "EGO" Mnoo, Tuna shuhuda Nyingi sana OT za aina ya Hao Wachezaji na Hii List umeweka Karibu 80% ya Hizo ni asili hiyo Hiyo, Kuna Talent nyingi lakini zimepotea kimasikhara sana, AM9, PP6, MR10, wakipata Mikataba Minono wanabadilika Jumla.

Tuna "Academy Proscpects" Wazuri sana na kina Mainoo wameonyesha ukiwa tayari Umri sio ishu, Ukitaka Lifahamu hili tizama timu ya U18 wana Mabalaa. {Lacey, Amass, Bragimov, et al.}

ST- Sesko / Rudisha "Mason Greenwood" Ana faida nyingi sijui suala lake INEOS watakavolitatua,
RB-Vanderson ana faida ya Kimo, Frimpong mzuri sana kama "Wingback" Sio Mzuri sana kuzuia
CB-Antonio Silva + Branthwite / Diomande {Ingawa Siamini sana Umri wake + Ni Black} Kuna Andersen wa Palace mzuri kuongeza Upana wa Kikosi.
RW-Matias Soule / Neto / Olisse
LW-Kvarartskhelia / Mitoma.
CM/CDM - Mats Wieffer /Zubimendi / Joao Neves.

Tukiweza Uza Poa, tukiweza tupa Poa vile vile, [Rashford, Varane, McTominay, Bissaka, Lindelof, Pellistri, Hannibal, Maguire, Heaton, Martial, na Wengine wanaofanana nao] Ericksen na Casemiro wanajua kuishi Kama "Professionals" wanaweza kuwa na mchango "Dressing Room" ila ikija Ofa nzuri toka Arabuni ama Marekani uza Nao na Shaw Pia haaminiki!
Natamanigi sana kuona Pellistri anaaminika.
 
Klopp: Bad Player => Good Coach

Koeman: Good Player=> Bad Coach

7+3 Jagi: Bad Player => Bad Coach
thefutbolmoments-20240207-0001.jpg
 
Umeeleza Poa sana Mdau!
Sio kwa Nia Mbaya wala Ubaguzi lakini wachezaji Wengi Wenye asili ya "Kiafrika" wana "EGO" Mnoo, Tuna shuhuda Nyingi sana OT za aina ya Hao Wachezaji na Hii List umeweka Karibu 80% ya Hizo ni asili hiyo Hiyo, Kuna Talent nyingi lakini zimepotea kimasikhara sana, AM9, PP6, MR10, wakipata Mikataba Minono wanabadilika Jumla.

Tuna "Academy Proscpects" Wazuri sana na kina Mainoo wameonyesha ukiwa tayari Umri sio ishu, Ukitaka Lifahamu hili tizama timu ya U18 wana Mabalaa. {Lacey, Amass, Bragimov, et al.}

ST- Sesko / Rudisha "Mason Greenwood" Ana faida nyingi sijui suala lake INEOS watakavolitatua,
RB-Vanderson ana faida ya Kimo, Frimpong mzuri sana kama "Wingback" Sio Mzuri sana kuzuia
CB-Antonio Silva + Branthwite / Diomande {Ingawa Siamini sana Umri wake + Ni Black} Kuna Andersen wa Palace mzuri kuongeza Upana wa Kikosi.
RW-Matias Soule / Neto / Olisse
LW-Kvarartskhelia / Mitoma.
CM/CDM - Mats Wieffer /Zubimendi / Joao Neves.

Tukiweza Uza Poa, tukiweza tupa Poa vile vile, [Rashford, Varane, McTominay, Bissaka, Lindelof, Pellistri, Hannibal, Maguire, Heaton, Martial, na Wengine wanaofanana nao] Ericksen na Casemiro wanajua kuishi Kama "Professionals" wanaweza kuwa na mchango "Dressing Room" ila ikija Ofa nzuri toka Arabuni ama Marekani uza Nao na Shaw Pia haaminiki!
Hiko kikosi tuwape ubingwa kabisaa wa 24/25
 
Natamanigi sana kuona Pellistri anaaminika.
Pellistri Mchezaj mzuri ila dalili za kuwa "World Class" ni ndogo na UTD kwa sasa kumuamini ni Changamoto maana timu bado Haieleweki.

Namna Bora ni Kumuuza sehemu zenye kumpa nafasi na rekodi nzuri za kukuza wachezaji, Ligi ya Ureno ama Ufaransa itamfaa zaidi maana miaka ya Karibuni wachezaji toka ligi Hizo hawapati shida sana kuzoea EPL, {Timu kama Porto, Benfica, Sporting CP, Marseille, Rennes ama Lille} Unaweka vipengele vya kukubeba kuhusu usajili wa Mbeleni.

Hiko kikosi tuwape ubingwa kabisaa wa 24/25
Hapo sio kwamba Tunaweza Sajili wote katika Dirisha Moja, ila Sajili 5 ama zaidi zinawezekana, timu inatakiwa kuwa na Upana wa kikosi Nyie kinachowagharimu Gunners ni Ukosaji wa Nafasi, Mngekuwa na CF mwenye kueleweka {Sio ST} Mngekuwa mnaongoza Ligi mbali sana,

CITY wana timu Jamaa na Ujio wa KDB na Haaland ni kama Sajili Mpya, Mnaweza wapa Changamoto ila Ubingwa umelalia zaidi kwao. Ukitaja Wachezaji "World Class" City unaweza Pata wengi sana {Bernado, Rodri, KDB, Haaland, Dias} Kuna Potential kama Alvarez, Foden n.k ila hizi timu zetu bado tunajitafuta huezi ona Hiyo Anasa, Hata hapo mlipo ni Pongezi!
 
Tupate uwiano, kila mtu apendekeze wachezaji wanne (4) wakuachwa na (5) wa kusajiliwa ili tuwe bora
WAKUACHWA
1. Maguire
2. Malacia (loan)
3. Ericksen
4. Martial

WAKUSAJILIWA
1. Todibo
2. Braithwaite
3. Benjamin Sesko
4. Federico Chiesa
5. Barela
Maoni binafsi
 
Back
Top Bottom