Umeeleza Poa sana Mdau!
Sio kwa Nia Mbaya wala Ubaguzi lakini wachezaji Wengi Wenye asili ya "Kiafrika" wana "EGO" Mnoo, Tuna shuhuda Nyingi sana OT za aina ya Hao Wachezaji na Hii List umeweka Karibu 80% ya Hizo ni asili hiyo Hiyo, Kuna Talent nyingi lakini zimepotea kimasikhara sana, AM9, PP6, MR10, wakipata Mikataba Minono wanabadilika Jumla.
Tuna "Academy Proscpects" Wazuri sana na kina Mainoo wameonyesha ukiwa tayari Umri sio ishu, Ukitaka Lifahamu hili tizama timu ya U18 wana Mabalaa. {Lacey, Amass, Bragimov, et al.}
ST- Sesko / Rudisha "Mason Greenwood" Ana faida nyingi sijui suala lake INEOS watakavolitatua,
RB-Vanderson ana faida ya Kimo, Frimpong mzuri sana kama "Wingback" Sio Mzuri sana kuzuia
CB-Antonio Silva + Branthwite / Diomande {Ingawa Siamini sana Umri wake + Ni Black} Kuna Andersen wa Palace mzuri kuongeza Upana wa Kikosi.
RW-Matias Soule / Neto / Olisse
LW-Kvarartskhelia / Mitoma.
CM/CDM - Mats Wieffer /Zubimendi / Joao Neves.
Tukiweza Uza Poa, tukiweza tupa Poa vile vile, [Rashford, Varane, McTominay, Bissaka, Lindelof, Pellistri, Hannibal, Maguire, Heaton, Martial, na Wengine wanaofanana nao] Ericksen na Casemiro wanajua kuishi Kama "Professionals" wanaweza kuwa na mchango "Dressing Room" ila ikija Ofa nzuri toka Arabuni ama Marekani uza Nao na Shaw Pia haaminiki!