Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

NEW: #mufc were informed that Marcus Rashford was out in the Northern Ireland capital on Wednesday night but the player also attended a nightclub the following evening, hours before being scheduled to report for a club training session.
Uyu mwanetu anatabia za kibongo Basi tu alizawaliwa Uzunguni.
 
NEW: #mufc were informed that Marcus Rashford was out in the Northern Ireland capital on Wednesday night but the player also attended a nightclub the following evening, hours before being scheduled to report for a club training session.

Na hapo hata kocha hatomzungumzia player wake sijui anamchigiri
 
.
Screenshot_20240128_183111_WhatsApp.jpg
 
Jinsi timu inavocheza unajiuliza hivi mazoezini huwa wanafanya nini poor physic poor passing poor pressing
 
Anayejua ni wapi kipara anatupeleka aniambie.
Isack hansen tumempoteza
View attachment 2891002
Nadhani Kipara anachofanya ni kuwaondoa ili wapate nafasi ya kucheza kwa sababu walikuwa wengi sana ambao wanatakiwa kutoka under 20 senior team isingeweza au walikuwa bado hawajatimiza vigezo anavyotaka kwenye senior team
 
Back
Top Bottom