Kama shabiki naumia sana kuona tunapitia haya ila nkikumbuka mapito ya Liverfools na Arsenyeto natambua kuwa sasa ni zamu yetu na hivyo niwe mwelewa na mvumilivu tu. Kuna ule ukweli kwamba hakuna atakayesalia juu milele na kupanda na kushuka ni kawaida.
Nimeshangaa kuna watu wanamwona eti ana potential kubwa
Wachezaji aina ya olise ni wa mid table team hatatufikisha popote km ilivyo kwa antony
Nimeona Manchester United ipo linked up na uyu dogo
Eric ten hag akimsajili huyu nitaamini kocha hana jicho la talent I'd
Kocha alitakiwa kwenye hili dirisha atafute DM wa uhakika la sivyo tutataanza ku question uwezo wake msimu wa tatu
Mechi za crystal palace, Bournemouth, Nottingham forest alipoteza kizembe sana
Nampenda Eric kwa personality yake kwasababu imekuja kuvunja ile tox behavior kwenye dressing room ila ndani ya uwanja still nampa dought of benefits kwasababu ya wachezaji wengi waliumia msimu huu