Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Embu ntajie uyo namba 10 ambaye ni ball dancer na chance creator anaemzidi Bruno sasa PL??
 
Angalau kidogo tumejiita idy.
Chamsingi vijana waendelee kukaza angalau tumalize ndani ya big 4.
 
Villa na Spurs ni upepo tu kama wa Newcastle ukikatika pale juu wanatoka City na Man U wanamaliza Top 4
.Shida inakuja kwa Liva na Aseno ambao wanachuana vikali...
 
Embu ntajie uyo namba 10 ambaye ni ball dancer na chance creator anaemzidi Bruno sasa PL??
Sijui kwenye comment zangu ni wapi umeona nimesema tunahitaji zaidi ya bruno?
Ninasisitiza, apatikane atakae mpa changamoto, aache malalamishi apige kazi, good is not good enough if a player is in the position to do better.
 
Ni vile ETH ni mtu wa Rotation hatabiriki ila hii Combo ya Rash+Garnacho+Houjlund ni hatati sana kama angetulia nayo akaifua vizuri watakichafua sana
Ttaizo kwenye hiyo combo ni kiwango cha Rashford kutokutabirika. Kwa mara ya kwanza nimeona jamaa akicheza kitimu zaidi pamoja na kwamba bado alikuwa na umimi fulani baadhi ya nyakati.
 
Kusema kweli kwa asilimia kubwa leo timu imecheza vizuri ukiachana na matokeo chanya. Sijui watu wanalalamika tumecheza vibaya waliangalia game ipi.
Kiungo ya united inamuhitaji eriksen mzee na mwenye matatizo ya moyo kwanza kabla ya chaguo lingine lolote pale kati.
Hawa marefarii nao wameishatuzoea kuwa tu wabovu ndio maana maamuzi mengi sana yamekuwa dhidi yetu yakituumiza.
Garnacho jana kacheza kiume na ameacha utoto wake na ndiye alisisimua morali ya timu kupambana.
 
Thanks to Rasmus hojlund for his first goal in PL
and Aleandro gernacho goals

In a boxing day gift win

Christmas is over now vila, gunners and scoursers decorations are coming down

And red devil's can turn things around from setback


Wishing all reds out there a CHRISTMAS EXHAUSTION after a wonderful boxing day

Next
Bring up the tricky
trees NF
 
Kwa sasa jukwaa la Arsenal na Liverpool kila wakifungwa au kutoa droo wanakimbilia kumlaumu kocha na kutamani kuongeza mchezaji kwenye kikosi chao, ila hali ni tofauti kwa United. Tuko kimya sana kwenye masuala ya usajili wa dirisha dogo utadhani tunaongoza ligi sisi.
Ila 10Hag ni TACTICIAN mzuri kuliko arteta.
 
Hatujui sir Jim atakujaje
 
Mbona unakua muongo muongo sana mkuu🤠🤠...hii tabia nani kakufundisha
 
Hapo umeandikiwa au umeandika mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…