Nadhani kuna mpango mkubwa sana wa kupandisha vijana kutoka kwenye academy. Ukifuatilia utagundua kwa siku za karibuni wanachezeshwa sana vijana wageni. Nadhani mpango wa kuingia sokoni hautakuwepo.Kwa sasa jukwaa la Arsenal na Liverpool kila wakifungwa au kutoa droo wanakimbilia kumlaumu kocha na kutamani kuongeza mchezaji kwenye kikosi chao, ila hali ni tofauti kwa United. Tuko kimya sana kwenye masuala ya usajili wa dirisha dogo utadhani tunaongoza ligi sisi.
Ila 10Hag ni TACTICIAN mzuri kuliko arteta.
Watu wanafumbwa macho na statistics za computer, ile hali mpira tunajionea wenyewe kuwa yule bwana yupo careless mnoUmeongea kwa akili kubwa sana mkuu kacnia Bruno ni tatizo kubwa kwa sasa. Nikikumbuka zile faulo mbili za hovyo alifanya kwenye uefa na zote zikazaa magoli tukaondolewa na juzi kwa Aston Villa kafamyavtena faulo wakapata goli la kwanza. Huyo mtoto wa miaka 19 anacheza dakika 80 na hasababishi faulo yoyote.
10Hag TACTICIAN mzuri kuliko Arteta tena daaah,hizi akili nyingine sijui za wapiKwa sasa jukwaa la Arsenal na Liverpool kila wakifungwa au kutoa droo wanakimbilia kumlaumu kocha na kutamani kuongeza mchezaji kwenye kikosi chao, ila hali ni tofauti kwa United. Tuko kimya sana kwenye masuala ya usajili wa dirisha dogo utadhani tunaongoza ligi sisi.
Ila 10Hag ni TACTICIAN mzuri kuliko arteta.
Huyo unaemsemea wa hovyo ana takwimu nzuri za kutengeneza chance za kufunga kuliko magwiji wengi waliopita EPL ,,,,tatzo tuna forward mbovu ,,,,, chance hizo haziwi magoli,,,,Umeongea kwa akili kubwa sana mkuu kacnia Bruno ni tatizo kubwa kwa sasa. Nikikumbuka zile faulo mbili za hovyo alifanya kwenye uefa na zote zikazaa magoli tukaondolewa na juzi kwa Aston Villa kafamyavtena faulo wakapata goli la kwanza. Huyo mtoto wa miaka 19 anacheza dakika 80 na hasababishi faulo yoyote.
Sevilla have already approached Inter for Lucien AgoumΓ©. Talks took place between clubs and Inter are open to accept loan deal.Lucien AgoumΓ©
Kwamba Arsenal ni competitive team!? π
Pale Arsenyani ukitoa Saka, Γdegaard, Rice, Timber na Trossard wengine wote ni wachezaji wa kusogeza siku tu.
Bado jamaa ni muongo muongo π€£π€£ mmefungwa jana comment za jukwaa lenu zimekubali alichosema mwambaMbona unakua muongo muongo sana mkuuπ€ π€ ...hii tabia nani kakufundisha
Mkuu uliona mbaliπArteta kama Jf kungekuwa na trending Basi leo angekuwa Top 1Kwa sasa jukwaa la Arsenal na Liverpool kila wakifungwa au kutoa droo wanakimbilia kumlaumu kocha na kutamani kuongeza mchezaji kwenye kikosi chao, ila hali ni tofauti kwa United. Tuko kimya sana kwenye masuala ya usajili wa dirisha dogo utadhani tunaongoza ligi sisi.
Ila 10Hag ni TACTICIAN mzuri kuliko arteta.
Kwa issue ya Usajili Boss kasema January watu wengi wanaludi kwa hiyo sidhani hapa kama tutakuwa sana na tetesiKwa sasa jukwaa la Arsenal na Liverpool kila wakifungwa au kutoa droo wanakimbilia kumlaumu kocha na kutamani kuongeza mchezaji kwenye kikosi chao, ila hali ni tofauti kwa United. Tuko kimya sana kwenye masuala ya usajili wa dirisha dogo utadhani tunaongoza ligi sisi.
Ila 10Hag ni TACTICIAN mzuri kuliko arteta.
Yule kiranja wa jukwaa lao kawatoroka anasubiri papoe ili aje kuwapiga kamba mpya tena.Wale paka wakifungwa huwa wanapotea humu.
Ila wakishinda badala ya kusifia timu yao wanakuja kumlaumu Ten Hag.
yote inatokanwa na tabia ya kuranda ovyo kwenye thread za team pinzani na kuandika maneno ya dhihaka na kejeli.Yule kiranja wa jukwaa lao kawatoroka anasubiri papoe ili aje kuwapiga kamba mpya tena.
Dogo anajua sana naombea asibadirike tu.Natumai siku moja nitamuona shey lacey chini ya kipara.
Kaka ETH ananiangusha mpaka nakosa nguvu za kuweka habari za chama kubwa maana Hashtag ninayomwekeaga #ππ§πͺπ¨π©πππππ§π€πππ¨π¨ππππ³π±βοΈ haiendani na anachokionyesha uwanjani ila mimi nipo sana tu.NtYga umepotea mkuu