Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kama kawaida ya nyumbu, dk 20 za mwanzo unapigwa mpira mkubwa sana baada ya hapo ni vituko.

Hii atmosphere hapo Istanbul huipati uwanja wowote pale England, ndiyo maana watu wanapenda UCL. Mechi lazima iwe na machizi mpira na watoto wa mbwa wakifanya amsha-amsha.
 
Ila Man Utd kwenye suala la kushikilia bomba tuna shida kubwa sana, tunaweza kuongoza hata kwa goli 3 halafu kipindi cha pili zikarudi zote.
Kila nikikumbuka ile mechi ya kwanza tuliocheza na hawa Waturuki pale Old Trafford nafsi yangu inakosa amani.
 

Tulia sasa wanyonyolewe apo apo mjini kwao Kumbe ni machizi
Manchester saiv ni tunachukua points tunaendelea na mambo yetu
 
Yaani yule kinguru leo hayupo timu inavutia kuitizama na inacreate nafasi za wazi za kufunga. Nimekuwa nikisema mara kadhaa utd sio mbovu kama watu wanavyodhani ubovu upo kwa wachezaji wachache ambao huwa hawana impact kwenye timu nao ni Rashford na Martial.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…