christeve88
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,150
- 5,065
Maguire kawa jiwe walilolikataa wahashi.Mimi mwenyewe naona alivorudi kikosini kidogo tumeimarika..na ushindi wa hapa na pale umekuwa ukipatikana..na yeye personally sijaona akifanya blunder kubwa.
Kesho HiyoView attachment 2827311
ETH " I admire both city and liverpool, but era come to an end"Uwe karibu na televisheni yako tu
Kurudi kwa majeruhi kikos kimeimarika sana hasa Kobi na ShawWafanye wawezalo Gala apigwe kwao..Tabu ya hii timu ushindi mmoja kifuatacho ni Vipigo Back to Back...Kama wakimfunga Gala kwao watapata confidence ya kumfunga Bayern pale OT
Kobe Mainoo yupo Kati sasahv...ndo tumeanza UEFA rasmi...ngoja uoneKama unathamini muda wako leo usijisumbue kuangalia mechi. Hakuna kitu cha maana nyumbu wanachoenda kufanya Istanbul. Na haiishii hapo tu nafasi ya kupita kwenda hatua inayofuata ni 1%.
Mpira dakika 90Kama unathamini muda wako leo usijisumbue kuangalia mechi. Hakuna kitu cha maana nyumbu wanachoenda kufanya Istanbul. Na haiishii hapo tu nafasi ya kupita kwenda hatua inayofuata ni 1%.
Ile mechi ya Everton inadanganya sana watu na hawawezi kuona picha halisi ya timu. Ni kweli Mainoo alicheza vizuri ila huwezi kumtegemea peke yake uwanjani.Kobe Mainoo yupo Kati sasahv...ndo tumeanza UEFA rasmi...ngoja uone
Msimu huu kwenye UCL rekodi ya nyumbu ugenini ni 2 games: 0 points. Kipi kinakuaminisha kuwa leo wale wachezaji vilaza (Rashford) wataweza kupata points!Mpira dakika 90
Wafanye wawezalo Gala apigwe kwao..Tabu ya hii timu ushindi mmoja kifuatacho ni Vipigo Back to Back...Kama wakimfunga Gala kwao watapata confidence ya kumfunga Bayern pale OT
Tunashinda leo.Ile mechi ya Everton inadanganya sana watu na hawawezi kuona picha halisi ya timu. Ni kweli Mainoo alicheza vizuri ila huwezi kumtegemea peke yake uwanjani.
Galatasaray huwezi kufananisha na Everton, wana watu wa kutoa adhabu. Huwezi kuruhusu Everton atawale vile halafu leo utegemee kumfunga Gala pale Istanbul kirahisi tu. Kama hawa wachezaji atmosphere ya Copenhagen iliwashinda sijui leo itakuwaje!
Rashford leo hayupo ana red na mdg mdg km Anthony tu, wataanza kupigwa bench na ETH mnyama...ni pelistri anaanz na game tunaua.Msimu huu kwenye UCL rekodi ya nyumbu ugenini ni 2 games: 0 points. Kipi kinakuaminisha kuwa leo wale wachezaji vilaza (Rashford) wataweza kupata points!
Hii mechi kama kawaida Galatasaray wataingia kama underdogs ila ukiweka vikosi hapa United watakimbizwa.
Kama Trashford hayupo, kwahiyo: Garnacho, Martial, Pellistri.Rashford leo hayupo ana red na mdg mdg km Anthony tu, wataanza kupigwa bench na ETH mnyama...ni pelistri anaanz na game tunaua.
Kama unathamini muda wako leo usijisumbue kuangalia mechi. Hakuna kitu cha maana nyumbu wanachoenda kufanya Istanbul. Na haiishii hapo tu nafasi ya kupita kwenda hatua inayofuata ni 1%.
Umeshakimbia brighton?Kama Trashford hayupo, kwahiyo: Garnacho, Martial, Pellistri.
Ngoja tuone.
Huyu Kobbie ilitakiwa tumpe ulinzi kabla Arsenal na City hawajamsakizia demu wa kumtia hatiani kama walivyofanya kwa Mason Greenwood na super controller Anthony.
Huyu ni Xavi mtupu kasoro rangi ya ngozi tu.