Ninachoshukuru angalau nimepata namna ya kuacha kuangalia mechi za Manchester, mwaka mmoja nyuma haikuwa inawezekana kabisa hata niwe wapi lazima niangalie game hata msiba wa bibi nilitoka nikaenda kucheki game.
Leo aaah nalala zangu safii moyo wangu unatulia tulii sio kudunda dunda dakika 90. Kuacha kuishabikia siwezi ila nitaangalia matokeo tu basi.