Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Papatu papatu .uta sikia mzee kipara aki jisifu mme cheza vzuri
 
Hivi huyu anthony inakuaje anashindwa kumpita walau defender hata mmoja panapotokea situation ya 1v1?
Ubora wake kama winga unatokea wapi ilhali hata kupiga krosi pia hawezi?
Nasubiri majibu toka kwa wataalam wa mpira.
 
Hivi huyu anthony inakuaje anashindwa kumpita walau defender hata mmoja panapotokea situation ya 1v1?
Ubora wake kama winga unatokea wapi ilhali hata kupiga krosi pia hawezi?
Nasubiri majibu toka kwa wataalam wa mpira.
Kocha anajua hilo, nadhani muda sio mrefu jamaa atakuwa anatokea sub.
Anton
Rashford
Kwa sasa hawapaswi kuanza, wanatukaba.
Kocha atengeneze midfield na forward sababu ndio chanzo cha poor performance.
Apandishe morali ya timu.
Garnacho 11, pelistri au forson 7.

NEVER LOSE HOPE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…