Team yenu ni takataka kuliko hata maelezo.. Yan ni ovyo kbs.. Team haijulikana wanacheza hata kwa njia ipi had leo.. Yan nyie mateso mnayopitia sio ya kuisha leo wala kesho.
Narudia tena wenzenu liver mlikua mnawacheka kukaa miaka 30 bila kombe tena mkawa mnatamba mnasema nyie haitakaa itokee nawaambia kuja mbebe iyo EPL lbd muibe kwa city ambaye yuko jiran yenu lkn sio kubeba.