mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,678
- 19,488
Chizi haaminikiTumewaamini jamaniView attachment 2796912
Chizi haaminikiTumewaamini jamaniView attachment 2796912
Kuna account naiona twitter, kuanzia uandishi, content hadi ushabiki inafanana na account hii.Manchester United huwa kama wachawi mechi ambayo wengi huomba wapigwe ndo huwa wanashinda sasa au Sare
Leo haters tusimalize sana Maneno wanaweza kutushangaza mashetani hawa![]()
12:30 jioniMtanange unaanza saa ngapi ndugu zanguni?





Manchester United huwa kama wachawi mechi ambayo wengi huomba wapigwe ndo huwa wanashinda sasa au Sare
Leo haters tusimalize sana Maneno wanaweza kutushangaza mashetani hawa![]()


Masingeli acha kujipa false hope humu, sisi mashabiki wenyewe wa Utd tunatambua wazi kabisa kua vita yetu sisi sio ya nyama na damu.MAN U USHINDI WETU LEO
Nimewabetia
Man U 3
Mama cita 0



Mwanangu Carasco Putin kwa hio leo tunaondoka na clean shit
?
𝗠𝗔𝗡𝗖𝗛𝗘𝗦𝗧𝗘𝗥 𝗪𝗜𝗟𝗟 𝗔𝗟𝗪𝗔𝗬𝗦 𝗕𝗘 𝗥𝗘𝗗
.”














| 𝐀𝐢𝐭𝐜𝐡: "I can't be bothered getting sl*𝐠𝐠𝐞𝐝 𝐨𝐟𝐟 by my mates all Sunday, most of my mates are City fans."







Hii pesa utaangalia mpira unasweat makalioni ....maana Hawa nyumbu mpira tutakao wawashia kudadekiii labda magoli ya offside yawasaidieTumewaamini jamaniView attachment 2796912





| Rio 𝐅𝐞𝐫𝐝𝐢𝐧𝐚𝐧𝐝 on defenders who would strengthen the defense: 





