Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,875
- 16,442
Ndugu yangu allypipi mpaka dakika hii sijaona umeweka prediction yoyote 




Kweli leo Man Utd inacheza halafu dunia nzima imejaa majonzi kwa yale yanayoendelea Ukanda wa Gaza.
Kuliko kudhalilishana kwani Mancity tukiongea nao vizuri hawawezi kukubali tukawapea tu ushindi wa mezani halafu sisi tukaendelea kuomboleza vifo vya watoto wachanga wanaouliwa Gaza kila kukicha bila ya hatia yoyote?





Kweli leo Man Utd inacheza halafu dunia nzima imejaa majonzi kwa yale yanayoendelea Ukanda wa Gaza.
Kuliko kudhalilishana kwani Mancity tukiongea nao vizuri hawawezi kukubali tukawapea tu ushindi wa mezani halafu sisi tukaendelea kuomboleza vifo vya watoto wachanga wanaouliwa Gaza kila kukicha bila ya hatia yoyote?


?
𝗠𝗔𝗡𝗖𝗛𝗘𝗦𝗧𝗘𝗥 𝗪𝗜𝗟𝗟 𝗔𝗟𝗪𝗔𝗬𝗦 𝗕𝗘 𝗥𝗘𝗗 






| 𝐀𝐢𝐭𝐜𝐡: "I can't be bothered getting sl*𝐠𝐠𝐞𝐝 𝐨𝐟𝐟 by my mates all Sunday, most of my mates are City fans."
Take note, Reds 

worn by the team against Brentford, and the flags at half-mast around Old Trafford were a wonderful tribute. 𝐂𝐚𝐭𝐡𝐲 supported me every step of the way through my career and she was the backbone of our family.”