Wachambuzi nguli kwa mujibu wa syllabus ya FIFA tunapochambua timu ,tunaanzia kwenye Buildup tunakuja phase 2 na phase 3
Lakini Wachambuzi nguli wanadai kuichambua manjesta ya 7hag imekuwa kazi ngumu Bora kubeba Zege ,
Haijulikani inacheza muundo gani Wala stail gani
Pep aliulizwa anaionaje manjesta, akaishia kuangua kicheko maana haichambuliki
Against promoted teams inacheza butua butua
Swali tunalojiuliza Wachambuzi nguli duniani,
Je against top 6 , manjesta itaokota hata point 1?
Je against kina Astonvilla, Westham,Fulham , Brighton ,itaokota points hata 1?
Huyu 7hag mliona Nini mpaka akapata kazi hapo manjesta?
Sir Jim inasemekana amaechoka na pira makande ,anataka akipewa timu amlete Graham Potter
Niliwahi kusema humu
Graham Potter
Ole Gunar
Frank lampard
David Moyes
Zuberi katwila
Malale hamsini
Juma Mgunda
Wana uwezo mkubwa kuliko Erik 7hag