Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu kwasasa ipo ICU , kuanzia next week inarud nafasi za 10-14
 
Hii timu inatupa wakati mgumu sana Wachambuzi nguli kuichambua


Hivi huyu kocha mliangalia Nini hadi akapewa aiongoze manjesta?
 
For the first time,Mentor na mchambuzi mwenzangu George Ambangile ameshindwa kuichambua timu yake pendwa


Niliwahi kumwambia 7hag Ni average coach,alinibishia Sana ,now amebaki kuniona Mimi mchawi


Anasema

Anayeweza kuichambua Man United afanye hivyo tafadhali daah

*Kiukweli mm hata sioni tunatumia muundo gani ? Staili gani ya uchezaji ? Bila mpira tunatumia muundo upi kuzuia ? Labda sioni mimi peke yangu ndugu zangu naomba leo mnipe darasa hilo *

Tunashinda lakini ?? : Sawa hata Mungu alisema tushukuru kwa kila jambo
 
For the first time,Mentor na mchambuzi mwenzangu George Ambangile ameshindwa kuichambua timu yake pendwa


Niliwahi kumwambia 7hag Ni average coach,alinibishia Sana ,now amebaki kuniona Mimi mchawi


Anasema

Anayeweza kuichambua Man United afanye hivyo tafadhali daah

*Kiukweli mm hata sioni tunatumia muundo gani ? Staili gani ya uchezaji ? Bila mpira tunatumia muundo upi kuzuia ? Labda sioni mimi peke yangu ndugu zangu naomba leo mnipe darasa hilo *

Tunashinda lakini ?? : Sawa hata Mungu alisema tushukuru kwa kila jambo
Nini maana ya mchambuzi?? Tuanzie hapo

Kisha na wewe cha-goat uje utuchambulie arsenal wanatumia mfumo gani na style gani of playing, miaka 100+ hakuna UCL.
 
Wachambuzi nguli kwa mujibu wa syllabus ya FIFA tunapochambua timu ,tunaanzia kwenye Buildup tunakuja phase 2 na phase 3

Lakini Wachambuzi nguli wanadai kuichambua manjesta ya 7hag imekuwa kazi ngumu Bora kubeba Zege ,

Haijulikani inacheza muundo gani Wala stail gani

Pep aliulizwa anaionaje manjesta, akaishia kuangua kicheko maana haichambuliki


Against promoted teams inacheza butua butua

Swali tunalojiuliza Wachambuzi nguli duniani,

Je against top 6 , manjesta itaokota hata point 1?

Je against kina Astonvilla, Westham,Fulham , Brighton ,itaokota points hata 1?


Huyu 7hag mliona Nini mpaka akapata kazi hapo manjesta?


Sir Jim inasemekana amaechoka na pira makande ,anataka akipewa timu amlete Graham Potter


Niliwahi kusema humu

Graham Potter
Ole Gunar
Frank lampard
David Moyes
Zuberi katwila
Malale hamsini
Juma Mgunda


Wana uwezo mkubwa kuliko Erik 7hag
 
Mwaka huu mkimaliza ndan ya top 7 , nitaamini uchawi upo ulaya na unafanya kazi

HUWEZI maliza top 7 ikiwa ukikutana na Burney , Sheffield ,Luton, una struggle ku control mechi


It's means against Astonvilla, Newcastle, Brighton, Westham , palace ,hutaweza kupata matokeo

Against top 6 hutaweza kupata matokeo
 
Sir Jim ana uelewa mkubwa Sana wa Soka

Anasema anamtaka Potter


Niliwahi sema humu 7hag anazidiwa uwezo Hadi na Juma Mgunda

Ni vile Mgunda Hana exposure ya ulaya


Ukimpa Mgunda manjesta boli litatembea
 
Operation kataa

pira magimbi

Pira makande

Pira butua butua

Pira janjajanja
 
Mashabiki wa manjesta mnasikia

Muwe mnafika hapa
20231023_100550.jpg
 
Wachambuzi nguli kwa mujibu wa syllabus ya FIFA tunapochambua timu ,tunaanzia kwenye Buildup tunakuja phase 2 na phase 3

Lakini Wachambuzi nguli wanadai kuichambua manjesta ya 7hag imekuwa kazi ngumu Bora kubeba Zege ,

Haijulikani inacheza muundo gani Wala stail gani

Pep aliulizwa anaionaje manjesta, akaishia kuangua kicheko maana haichambuliki


Against promoted teams inacheza butua butua

Swali tunalojiuliza Wachambuzi nguli duniani,

Je against top 6 , manjesta itaokota hata point 1?

Je against kina Astonvilla, Westham,Fulham , Brighton ,itaokota points hata 1?


Huyu 7hag mliona Nini mpaka akapata kazi hapo manjesta?


Sir Jim inasemekana amaechoka na pira makande ,anataka akipewa timu amlete Graham Potter


Niliwahi kusema humu

Graham Potter
Ole Gunar
Frank lampard
David Moyes
Zuberi katwila
Malale hamsini
Juma Mgunda


Wana uwezo mkubwa kuliko Erik 7hag
With all respect mchambuzi mwenye beji ya FIFA tunakuhitaji mara moja jukwaa la Chelsea.
 
Rasmus HØJLUND in the Premier league
6 games
0 goals
0 assists
 
Mwaka huu mkimaliza ndan ya top 7 , nitaamini uchawi upo ulaya na unafanya kazi

HUWEZI maliza top 7 ikiwa ukikutana na Burney , Sheffield ,Luton, una struggle ku control mechi


It's means against Astonvilla, Newcastle, Brighton, Westham , palace ,hutaweza kupata matokeo

Against top 6 hutaweza kupata matokeo
 
Back
Top Bottom